Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

992F3DBD-E814-4639-A836-4D4D1A148707.jpeg
 
Kama tunajenga Magufuli bridge pale Kigongo Busisi kwa 667bn tunashindwaje kujenga hizo flyover za $45-100m? Hivi huko Kenya shule zenu hufundisha ujinga ee!
Akili fupi imejianika tena😂😂😂., Kuna mahitaji ya nchi, na sio tu flyover, CCM imewafilisi hadi ubongo , in Tanzania lazima u sacrifice mahitaji ya sehemu kwanza, utatoa pesa wapi? Your annual income iko wazi and National budget pia., Sasa wewe mwenye unajiona mjanja na akili ndefu start breaking down vis a vis recurrent expenditure nione the far u can go!., start am here..,
 
Maneno matupu kwangu wala hayaniyumbishi, hapa ni mwendo wa screenshots kutoka kw mitandao yenu mnayotumia..
Utafunzwa Kiswahili humu., Umeona difference from their screenshot, Kshs 23(Tsh500) kwao ni 150mb Kenya 20 ni 200 mb!., mafala kupindukia. Facts ndio dawa, mwendo wa weka ni weke😂😂😂
 
That's why i always say Kikwete's government was ten times better than Magu's....kwanzia kwenye uchumi hadi kwenye infrastructure Kikwete aliweza sana.Mambo mengi yameenda kombo toka Magufuli aingie madarakani,eg.. wawekezaji kuikimbia inchi,utekaji,mauji,chuki baina ya wanainchi,uchumi kuporomoka kwa kasi....nk
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516][emoji3516]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom