Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ningekuwa sijafika na kuishi labda ningeweza kushawishika kuingia kwenye huu mkumbo wenu.

Huwezi fananisha Nairobi na upuuzi kama Dar.
Hvi wewe unaona watu humo wote wakuja au unaona kila mtu mjinga tu ??😀😀 mm utanidanganya sehemu gani kenya sijafika labda uniambie turkana na lamu mzee nikwambie kitu nairobi ilikua 90s ila kwa sasa tunaoozungumzia 2021 dunia ishageuka sio ile tena, dar ni second fastest city in the world na imeshika hio nafasi kwa over 3 yrs labda nikupe taarifa ndogo sana wakenya wanaokuja dar leo hawawezi amini macho yao, ww kama unachuki zako zakisiasa hii sio sehemu sahihi kwako
 
Nimekutana nayo buguruni brand new 🇹🇿🇹🇿 Watu wana pesa aloo
6466FFC1-855E-4E59-8D9E-3211CB6ED63D.jpeg
5B2B23AA-D7E4-426D-AE4A-A6B6BE8038C3.jpeg
 
kwan hii terminal imekuwa built from scratch au imekuwa renovated?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji848]
Imekua built from scratch 😀😀😀 na ukiskiliza cost iliotumika hapo inaeza kua sawa na kujenga mbezi luis walivokua na laana
 
Sure huwezi kuwa size yangu mpuuzi mmoja wewe. Bishana na mazwazwa wenzako mnaifananisha Dar na Nairobi ni sawa na kufananisha kifo na usingizi.

Kwanza Nairobi hamjafika mnapaona kwa picha tu halafu mnaleta kende kubishana. SMH
Unazungumzia Nairobi ipi kwanza, huenda wewe ni yule a man from Taured, ni hii hii Nairobi iliyo katika kundi la miji michafu Africa au unaongelea ipi hebu nieleweshe [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20210427-185135.jpg
Screenshot_20210427-185110.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hio logo ya TTCL imekaa unique sana... hawa analogous viongozi wetu sijui walikubalije kitu ambacho haiendan na ishu za simu..[emoji23].. wengi wanapenda kiwepo kitu kinachoendana na huduma wanayotoa

na most times, logo sio lazima iendane na service/product inayotolewa
Naweza kukutuhumu kuwa umeidukua akili yangu. Ni jana tu nilikuwa najiuliza kuhusu uniqueness ya hiyo logo. Yaana jana nawaza, wewe leo umepost. Sasa hapo ni coincidence au hacking! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Designer alikuwa gen. kwa kweli.

Pongezi zije kwako pia kwa kuiona na kuisemea. Kudos.
 
angalia haya mawili mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1765498
kenya wako kizaman.. Tanzania hakuna daladala lenye mlango wa mbele kwa ajili ya abiria
Hilo la mbele unafungulia geti la milembe bure kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawa jamaa chenga sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom