Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hio ndege ina aina kadhaa. Kuna ya civilian na kuna ya military. Sasa sijui unapingana nini? Ama unataka nikuletee video uone MD-500 ikirusha kombora ndio uamini?
Maelezo yake haya hapa Mzee. Leta maelezo utuomeshe kama ni zipo fighter helicopter
Screenshot_20210418-195050.png
 
Linganisha takataka hizo na mzigo huu
View attachment 1755722
Nakumbuka mwaka 2016 kulikuwa na tetesi kuwa serikali ilitaka kuchukua Mi-17 helicopters kutoka Urusi.

Ila aliyekuwa waziri wa ulinzi wakati huo alikanusha.
 
Nakumbuka mwaka 2016 kulikuwa na tetesi kuwa serikali ilitaka kuchukua Mi-17 helicopters kutoka Urusi.

Ila aliyekuwa waziri wa ulinzi wakati huo alikanusha.
Mambo ya kijeshi ni siri kubwa.
 
Kunyaland kuna mambo haya
View attachment 1755745
Kenya ni failed state, almost counties zote za mipaka na Ethiopia, Somalia, Sudan hakuna uwepo wowote wa serikali ni kama free territorial zones huko hata kdf akipasikia anastaafu kwa hiari ndio maana civilians wwnamiliki silaha na serikali haiwezi kuwafanya lolote
 
Hizo ulizoweka ni civilian Mzee. Au huoni maelezo yake!?
Hizo helicopter hazina weapons yoyote.
Linganisha hizo na H225M.
Wewe ni wazimu. By the way Marekani pia inatumia ndege za MD-500 kwenye vita. Najua unatuona Wakenya tukiwa wajinga sana sasa sijui unawaona Wamarekani pia wakiwa wajinga kwa kutumia ndege za MD-500 kwenye vita? Hizi ndege ni multi-purpose na zinaweza kuwa retrofitted to suite a military or civilian purpose. Kama huelewi mambo ya ndege si ungenyamaza tu. Nimekuuliza swali umekataa kujibu. Nimekuuliza je unataka nikuletee video ya MD-500 ya Kenya ikurisha kombora huko Somalia ndio uamini?
 
Wewe ni wazimu. By the way Marekani pia inatumia ndege za MD-500 kwenye vita. Najua unatuona Wakenya tukiwa wajinga sana sasa sijui unawaona Wamarekani pia wakiwa wajinga kwa kutumia ndege za MD-500 kwenye vita? Hizi ndege ni multi-purpose na zinaweza kuwa retrofitted to suite a military or civilian purpose. Kama huelewi mambo ya ndege si ungenyamaza tu. Nimekuuliza swali umekataa kujibu. Nimekuuliza je unataka nikuletee video ya MD-500 ya Kenya ikurisha kombora huko Somalia ndio uamini?
Mzee sitaki maelezo yako maana nyie ni wazee wa kupika data. Weka attachment ya hiki unacho kuongea.
Mimi evidence yangu ni hii;-
Zenu ni za mwaka 1967 zetu za mwaka 2005.
Screenshot_20210418-203146.png
Screenshot_20210418-203218.png
 
Hio ndege yenu hairushi kombora yetu inarusha kombora sasa sijui unacompare nini? Yenu ni transport helicopter. Halafu nimekuambia sisi tuna MD-500 zaidi ya 30. Nyinyi helicopter aina hiyo mnazo chini ya tano. Idadi pia ni muhimu. Lazima tuzingatie idadi.
Nimekuambia hizo helicopter ujinga mtupu.
1. Hazina weapon zozote.
2. Zinabeba watu hawazidi 4.
3. Technology ya 1963
4. Ziketengenezwa kwaajili ya police

Evidence:
Screenshot_20210418-204047.png
 
Nimekuambia hizo helicopter ujinga mtupu.
1. Hazina weapon zozote.
2. Zinabeba watu hawazidi 4.
3. Technology ya 1963
4. Ziketengenezwa kwaajili ya police

Evidence:
View attachment 1755785
Wewe unaniambia kama nani? Unajuaje kwamba hazina weapons? Kwa hivyo ninapokuambia kwamba zinarusha kombora nakudanganya? Kwa hivyo mimi ni wazimu niseme kwamba zinarusha kombora ikiwa hazirushi? Unachukulia kila mtu kwamba ni mjinga huku. Halafu nimekuuliza kama unataka nikuletee video uone ikirusha kombora na umenyamaza. Hujajibu hilo swali. Anyway wacha nitafute hio video nikuwekee uwache kunipotezea muda ukipingana ujinga. Hizo ndege zina kombora. Period. Upende usipende. Tulia nikuwekee video na uwache kupingana hovyo
 
Back
Top Bottom