The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Sasa weka za Kenya.Umeshawahi kuisikia hii self-propelled artilery inayoitwa Nora B-52?
View attachment 1755693
View attachment 1755696
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa weka za Kenya.Umeshawahi kuisikia hii self-propelled artilery inayoitwa Nora B-52?
View attachment 1755693
View attachment 1755696
Pwahahaha. Hii takataka unataka kulinganisha na SAM na MRLsUmeshawahi kuisikia hii self-propelled artilery inayoitwa Nora B-52?
View attachment 1755693
View attachment 1755696
Tuna helicopters za kivita nyingi. Nyinyi hamna. Tuna MD 500 zaidi ya 30.Pwahahaha. Hii takataka unataka kulinganisha na SAM na MRLs
Hii self-propelled na siyo Ballistic Missile.
View attachment 1755698
Tuna helicopters za kivita nyingi. Nyinyi hamna. Tuna MD 500 zaidi ya 30.
View attachment 1755705View attachment 1755706View attachment 1755707
Mzee unaanza kuleta vichekesho sasa. Hizo ni ndege za kuokolea watu kwenye mafuriko au kupuzia dawa za kuua nzige. Siyo helicopter za kivita Mzee.Tuna helicopters za kivita nyingi. Nyinyi hamna. Tuna MD 500 zaidi ya 30.
View attachment 1755705View attachment 1755706View attachment 1755707
Linganisha takataka hizo na mzigo huuTuna helicopters za kivita nyingi. Nyinyi hamna. Tuna MD 500 zaidi ya 30.
View attachment 1755705View attachment 1755706View attachment 1755707
Mkuu nimesoma kitu kimoja (jina la kozi kapuni) lakini ninaweza kufanya kazi kwenye vitu ambavyo hata sikuvisomea.



Mkuu nimesoma kitu kimoja (jina la kozi kapuni) lakini ninaweza kufanya kazi kwenye vitu ambavyo hata sikuvisomea.
Mimi ni wale ambao ukiniajiri ni sawasawa na kuokota dodo![]()





Nashangaa sana kila siku tunawachapa wanarudi tenahizi mada inakuja tunawamaliza, inakufa.. inarudi tena.. nawashauri pitien commentsi za nyuma








Affordable homes iko wapi ss apoPangani affordable homes zinakuja kwa kasi kama ya umeme.... block ya kwanza imekamilika sasa bado zingine saba ambazo ziko first floor kwa sasaView attachment 1755730View attachment 1755732
















Wewe huwezielewa sababu umezoea mabanda
Nimekuambia tunazo zaidi ya 30. Nyinyi mnazo ngapi? Halafu hio takataka uliyoweka sio ndege ya kivita. Wacha upuuzi.Linganisha takataka hizo na mzigo huu
View attachment 1755722
Kwenye military mmesanda!?
Hio ndege ina aina kadhaa. Kuna ya civilian na kuna ya military. Sasa sijui unapingana nini? Ama unataka nikuletee video uone MD-500 ikirusha kombora ndio uamini?Mzee unaanza kuleta vichekesho sasa. Hizo ni ndege za kuokolea watu kwenye mafuriko au kupuzia dawa za kuua nzige. Siyo helicopter za kivita Mzee.
View attachment 1755713
Hizo ulizoweka ni civilian Mzee. Au huoni maelezo yake!?Nimekuambia tunazo zaidi ya 30. Nyinyi mnazo ngapi? Halafu hio takataka uliyoweka sio ndege ya kivita. Wacha upuuzi.
Bongolala kuna military kweliKwenye military mmesanda!?
Kwenye military hatutaki kuwasikia mkipiga kelele.
Sasa twende kwenye mambo ya kijamii
