Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Sawa, Endeleeni kupigana nyinyi makomando wa Tz.chief ukweli upo hivi vita si vizuri lakini uhalisia wa mambo kuna tofauti kubwa sana kwenye umakini na upande wa ueledi wa kijeshi baina ya hizi nchi mbili....
jeshi lenu la kenya bado sana pamoja na kuwa na bajeti kubwa ,,hapo well trainers ,,bado mna safari







