Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Atakwambia walishinda vita vya komoro. Nchi yenye watu wasiozidi milioni moja wanaoishi kwenye kisiwa kidogo.
hebu mention vita na mission mlizopigana kenya kisha mention vita/ mission iliyopambana Tz kisha comoare....

na ukimaliza jicheke muache ujinga wakenya ,,jeshi lenu halikuwa na wala halina impact yeyote kwa hapa africa hakuna mlichokifanya ,,,,mpo so weak huo ndiyo ukweli
 
hebu mention vita na mission mlizopigana kenya kisha mention vita/ mission iliyopambana Tz kisha comoare....

na ukimaliza jicheke muache ujinga wakenya ,,jeshi lenu halikuwa na wala halina impact yeyote kwa hapa africa hakuna mlichokifanya ,,,,mpo so weak huo ndiyo ukweli
Kenya's first peacekeeping deployment was to UNTAG in Namibia; from 1989 to 2001, Kenyan troops took part in UNTAG, UNOSOM, UNPROFOR, UNCRO (Croatia), UNTAES, UNOMIL, UNPREDEP in Macedonia (1996–1999), MONUA in Angola (1997–1999), and UNTAET in East Timor (1999–2001).

Haya, hizo hapo. Najua nyinyi mlipigana mission kama za Rambo na Arnold! 🤣 🤣 🤣
 
Sisi tuko Somali huku, hawa ndio adui wetu(alshabab) sio kila pahali tunapigana, tuna kazi za kujenga taifa pia sio vita tu
kwanin miaka yote ya nyuma hamkuingia huko somali,,,?.. huo ni mpango wa USA si mpango wenu ndiyo maanajeshi lenu linalipwa na kusaidiwa vitendea kazi,,,,

nyie kama nyie hamhwezi kusimama na msingeenda huko,,,,nyie ni chambo wa US...

jeshi lenu ni dhaifu mara dufu,,,ila huko kidogo mnapata experience ya vita ila bado sana mna kazi kubwa
 
Ona hili zuka, we unafikiria unaweza kuwapiga picha recce kirahisi rahisi hvo, hapo walipigwa pasi kujua..

Njoo ujaribu uone gari la GSU linapita we uwapige picha wazi wazi alafu ndio utajua
ulikuwepo...?
 
kwanin miaka yote ya nyuma hamkuingia huko somali,,,?.. huo ni mpango wa USA si mpango wenu ndiyo maanajeshi lenu linalipwa na kusaidiwa vitendea kazi,,,,

nyie kama nyie hamhwezi kusimama na msingeenda huko,,,,nyie ni chambo wa US...

jeshi lenu ni dhaifu mara dufu,,,ila huko kidogo mnapata experience ya vita ila bado sana mna kazi kubwa
Hata ISIS walianza hivyo hivyo, wacha tuchukue experience. Kufa kwa mwanajeshi sio jambo la kumaka, alishakula kiapo. Alafu ujue tuliwavamia Alshabab, sio Somalia. Hao ndio walileta za ovyo huko Lamu ikabidi tuwafwate, soma taarifa
 
Kwanza mlipigana vita gani km nchi achi mbali kushinda
nawewe onyesha vita mliyopigana wakenya hata moja baina ya nchi na nchi....

ujinga ndiyo akili iliyobakia kichwani kwako
20210418_161407.jpg
 
kwanin miaka yote ya nyuma hamkuingia huko somali,,,?.. huo ni mpango wa USA si mpango wenu ndiyo maanajeshi lenu linalipwa na kusaidiwa vitendea kazi,,,,

nyie kama nyie hamhwezi kusimama na msingeenda huko,,,,nyie ni chambo wa US...

jeshi lenu ni dhaifu mara dufu,,,ila huko kidogo mnapata experience ya vita ila bado sana mna kazi kubwa
Hujui unachosema wewe. Kwa muda wa karibia mwaka mmoja wa kwanza tulikuwa tunatumia taxes zetu kupigana vita hivyo. Wakati huo mission hio ilikuwa inaitwa operation "Linda Nchi." Na UN au AU au US haikuwa inahusika popote. Baada ya Kenya kuteka Kismayu na Jubbaland province ndio tukajiunga na Amisom. Jifunze mambo kabla ya kuzungumza.
 
Njoo uwapige picha pale airport alafu ukimbie mbio
na watakufa kama kuku,,,, kwa jinsi jeshi lenu lilivyo weak na poor poor trainers hata mkipewa bom la nuclear mkaambiwa ibutueni Tz mnaweza mkaset mtambo mkaugeuzia kwenu mkajua kuwa mmeuset upande wa Tz na mwusho wa siku mkajifumua wenyewe...

jeshi lenu halifundishiki. over
 
Ombeni sana wale jamaa wasiwe ka alshabab, mtatoa vilio tuje wenye experience tuwape support mkuu!
chief ukweli upo hivi vita si vizuri lakini uhalisia wa mambo kuna tofauti kubwa sana kwenye umakini na upande wa ueledi wa kijeshi baina ya hizi nchi mbili....

jeshi lenu la kenya bado sana pamoja na kuwa na bajeti kubwa ,,hapo well trainers ,,bado mna safari
 
na watakufa kama kuku,,,, kwa jinsi jeshi lenu lilivyo weak na poor poor trainers hata mkipewa bom la nuclear mkaambiwa ibutueni Tz mnaweza mkaset mtambo mkaugeuzia kwenu mkajua kuwa mmeuset upande wa Tz na mwusho wa siku mkajifumua wenyewe...

jeshi lenu halifundishiki. over
Genaral wenu kapitia huku huku pia
 
nawewe onyesha vita mliyopigana wakenya hata moja baina ya nchi na nchi....

ujinga ndiyo akili iliyobakia kichwani kwakoView attachment 1755509
Nchi na nchi 🤔 haha Kenya tupigane na nani wakati hatuna uadui na nchi yoyote ile? 😂
Huyo Idi Amin mliyempindua, alijaribu huo utopolo Kenya, ati hadi Nairobi iko mipaka yake, angekuwepo leo ungemuuliza, mbona hakujaribu bahati yake.

In February 1976, the then Uganda leader Idi Amin Dada infuriated Kenyans when he claimed that a large part of Kenya belonged to Uganda.

A couple of days after his remarks, a mass demonstration was organised at Nairobi’s Uhuru Park, where Mzee Jomo Kenyatta declared that Kenya would deal ruthlessly with neighbours who publicly expressed “their sinister intentions”.

Although Amin clarified that he had no intention of going to war but would write to the Queen of England to demand an explanation, his unpredictability was Kenya’s greatest fear.

It was believed that he was being incited by President Siad Barre of Somalia, who was laying a similar claim to the northeastern part of Kenya.
 
chief ukweli upo hivi vita si vizuri lakini uhalisia wa mambo kuna tofauti kubwa sana kwenye umakini na upande wa ueledi wa kijeshi baina ya hizi nchi mbili....

jeshi lenu la kenya bado sana pamoja na kuwa na bajeti kubwa ,,hapo well trainers ,,bado mna safari
Waulize mashababi kilichowakuta mpka kucha makaazi yao
 
Back
Top Bottom