Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya mnaumia kweli kweli tunapoongelea kuhusu vita

Msitulaumu sisi muwalaumu malazy boy wa KDF kwa kuwalipa mishahara lkn wanaishia kuiba mikate na pipi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wapo vitani
We unaongea nn bana, wa kike ndio wapo kambini wanafugwa..

Bado hujapata vita tanzania imepigana achia mbali kushinda..
Narudia tena, tanzania km nchi ilipigana vita gani
 
Wanaume wapo vitani
We unaongea nn bana, wa kike ndio wapo kambini wanafugwa..

Bado hujapata vita tanzania imepigana achia mbali kushinda..
Narudia tena, tanzania km nchi ilipigana vita gani
Vita na child soldiers, tena bado mkagaragazwa!
 
Kule msumbuji sio, ama nimekosea?
hatuna mission yeyote ya kuingia ndani ya msumbiji hawajatuomba na wala hawajaingia agreement na Tz ,,

hivyo kila mtu analinda mipaka yake,,ndiyo maana hawajileti bongo wanajua mziki wake jinsi ulivyo
 
hatuna mission yeyote ya kuingia ndani ya msumbiji hawajatuomba na wala hawajaingia agreement na Tz ,,

hivyo kila mtu analinda mipaka yake,,ndiyo maana hawajileti bongo wanajua mziki wake jinsi ulivyo
Ombeni sana wale jamaa wasiwe ka alshabab, mtatoa vilio tuje wenye experience tuwape support mkuu! 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom