Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya mnaumia kweli kweli tunapoongelea kuhusu vita [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Msitulaumu sisi muwalaumu malazy boy wa KDF kwa kuwalipa mishahara lkn wanaishia kuiba mikate na pipi [emoji516][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wapo vitani[emoji23][emoji23]
We unaongea nn bana, wa kike ndio wapo kambini wanafugwa..

Bado hujapata vita tanzania imepigana achia mbali kushinda..
Narudia tena, tanzania km nchi ilipigana vita gani
 
Askari wa Kenya huwa wananichekesha sn wakitaka kupiga picha huwa wanaweka pozi la kwenye movie ili wafanane na askari wa US, ushamba mzigo wallahi
[emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545][emoji3545][emoji117][emoji86][emoji86][emoji205][emoji205][emoji117][emoji529][emoji529]

Sent using Jamii Forums mobile app
kama huyo mmoja anajiita expendable man[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

ni vichaa wanafikiri gwanda hizo zipo kwaajili ya fashion show
 
Wanaume wapo vitani[emoji23][emoji23]
We unaongea nn bana, wa kike ndio wapo kambini wanafugwa..

Bado hujapata vita tanzania imepigana achia mbali kushinda..
Narudia tena, tanzania km nchi ilipigana vita gani
Vita na child soldiers, tena bado mkagaragazwa!
 
Kule msumbuji sio, ama nimekosea?
hatuna mission yeyote ya kuingia ndani ya msumbiji hawajatuomba na wala hawajaingia agreement na Tz ,,

hivyo kila mtu analinda mipaka yake,,ndiyo maana hawajileti bongo wanajua mziki wake jinsi ulivyo
 
Mzoee tu huyo ndivyo alivyo anaropoka sana, kumbe ushamjua eehh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ona sasa na wewe keshakuchanganya tayari, inamaana kumbe na wewe husomi ni mwenso wa ku quote tu..

Mwenzako anajua kwnn kafanya hvo na atarelebisha wewe upo upo tu kudandia comment za watu
 
hatuna mission yeyote ya kuingia ndani ya msumbiji hawajatuomba na wala hawajaingia agreement na Tz ,,

hivyo kila mtu analinda mipaka yake,,ndiyo maana hawajileti bongo wanajua mziki wake jinsi ulivyo
Ombeni sana wale jamaa wasiwe ka alshabab, mtatoa vilio tuje wenye experience tuwape support mkuu! 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom