Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Askari wa Kenya huwa wananichekesha sn wakitaka kupiga picha huwa wanaweka pozi la kwenye movie ili wafanane na askari wa US, ushamba mzigo wallahi


Sent using Jamii Forums mobile app
Ona hili zuka, we unafikiria unaweza kuwapiga picha recce kirahisi rahisi hvo, hapo walipigwa pasi kujua..

Njoo ujaribu uone gari la GSU linapita we uwapige picha wazi wazi alafu ndio utajua
 
Umeshindwa kuleta
Natoka jf mimi siku ukinionyesha mlishinda vita wapi km nchi
Hata nyinyi mngekuwa sisi, hamgewashinda hao alshabab, bora sisi twajaribu. USA hadi wa leo wanatoka Afghanistan, na bado Alqaeda na ISIS wapo hawajaisha na hapo ukumbuke ni the USA pamoja na nchi zingine zilikuwa kule. Terrorism sio kitu cha siku moja, so wacheni kuvimba mnapocharaza kundi la vijana ambao hata vifaa vya maana hawana.
Sahi mwambie mwende Libya huko mkasaidie vikosi vya serikali kuangamiza waasi wa ISIS, mtaenda nyie "makomandoo"? 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom