Jana Amina Mohamedi aliingia ikulu kwa mama Samia akiwa amevaa barakoa, ametoka akiwa hana barakoa.Naona mama Samia kavaa mask katika hafla inayofanyika Uganda. Hio ni ishara nzuri kwamba Mhe Samia anaheshimu sayansi na hafuati ramli zinazopigwa na waganga vijijini. Corona haina tiba na haitibiwi kwa uganga wala uchawi, fuateni sayansi muwache mambo ya kupiga nyungu.
Kibaha

Naskia FID haitatiwa saini. Itakuwa mikataba mengine tu ndio itatiwa saini. Lakini wacha tuone.
official page
Unaweza ukampa hii.Jana Amina Mohamedi aliingia ikulu kwa mama Samia akiwa amevaa barakoa, ametoka akiwa hana barakoa.
Mikataba mingine ipiNaskia FID haitatiwa saini. Itakuwa mikataba mengine tu ndio itatiwa saini. Lakini wacha tuone.





Not Msibani, I mean MSEVENGuys mnamsikiliza vizuri Yoweri Msibani?kweli wema ni akiba leo nmeamin hakika.
