Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sawa. Wacha tungoje mapendekezo tuyaone.
Labda nikwambie kitu Tony254, kama tukikaa mezani na kujadili vizuri project hiyo, ni wazi kabisa ujenzi wa Bandari kubwa Bagamoyo italeta mchango mkubwa sana Kiuchumi kwani itachochea Biashara, Viwanda, Agribusiness, Madini na sekta nyingine nyingi.

Shida ni hao wawekezaji lengo lao ni kutaka Ardhi hii iwe sehem ya China Province kitu ambacho hakikubaliki yaan China ndani ya Tanzania.

If I were Me ningependekeza ujenzi wa bandari hyo uje na mipango ya kuziboresha na kuziongezea Uwezo Zaidi Bandari zote za Pwani na Maziwani ili kuleta mjumuiko mzuri wa usafishaji.
 
Labda nikwambie kitu Tony254, kama tukikaa mezani na kujadili vizuri project hiyo, ni wazi kabisa ujenzi wa Bandari kubwa Bagamoyo italeta mchango mkubwa sana Kiuchumi kwani itachochea Biashara, Viwanda, Agribusiness, Madini na sekta nyingine nyingi.

Shida ni hao wawekezaji lengo lao ni kutaka Ardhi hii iwe sehem ya China Province kitu ambacho hakikubaliki yaan China ndani ya Tanzania.

If I were Me ningependekeza ujenzi wa bandari hyo uje na mipango ya kuziboresha na kuziongezea Uwezo Zaidi Bandari zote za Pwani na Maziwani ili kuleta mjumuiko mzuri wa usafishaji.
Halafu kuna industrial zone itakuja pamoja na hiyo port! yaani industrial city sort of for export!
 
Halafu kuna industrial zone itakuja pamoja na hiyo port! yaani industrial city sort of for export!
Kama kuna kitu naweza kumuomba Mwenyez Mungu kwa leo, nitumie kumpa Hekima, busara na Maarifa tele Rais SSH kuwaita tena hao CHINA na Arabu Merchants tukae mezan tujadiliane kwa kina tuone jinsi gani tunaweza capture that big project in profitable manner.
 
Hio industrial city is a good idea. Port yenyewe itatumika kuimport malighafi na pia kutumika kuexport finished products zitakazotengenezwa ndani ya hio industrial city.
Kiufupi ujenzi wa Bandari hii Multiplier effect yake n kubwa mnooooo ila kuwapo watu Makin kuweza kufacilitate that Massive project.
 
mtihan upo nusu fainali... robo fainali.. simba anapita akikutanishwa na runner up yeyote
Yeah, kwa soka analocheza SSC Kwa sasa mmmh tafadhali tukutane Half final kidogo twaweza ona mpambano wa aina yake.

Kuna muda unacheki game mpk unahic raha kwa Mtima
 
Kujenga bandari ya Bagamoyo is just a bad idea. It is not as if Tanzania has few ports. Tanzania tayari ina ports tatu kwenye Indian ocean zinazofanya kazi (Dar, Tanga na Mtwara) so sioni haja ya kujenga port nyingine mpya, kwanza green-field port ambayo itagharimu pesa nyingi. Kwa nini mnataka kupoteza hela yenu bure? Kenya ina port moja tu ilhali hio port moja inapakua mizigo mingi kushinda Bandari zenu tatu zilizo kwenye ufuo wa bahari la hindi. Kenya ndio ina haki ya kujenga bandari la pili ili kupunguza pressure kwenye Mombasa port hususan ukizingatia kwamba Mombasa port inaserve Kenya na Uganda kwa pamoja. Kenya ndio inastahili kujenga port ya pili lakini sio nyinyi. Nyinyi mnastahili kuongeza efficiency na kuexpand existing ports ili ziwe kubwa na zenye uwezo wa kuhandle cargo nyingi. Ports zenu bado ni ndogo ndogo sana. Dar port tayari imepanuliwa, Tanga na Mtwara pia zinapanuliwa. Mumeshatumia pesa nyingi kupanua bandari zenu sasa mbona mpoteze pesa kujenga bandari mpya wakati bandari zenu zinapanuliwa na hata hazijaanza kutumia new capacity. Mbona msingoje port zenu zitumie new capacity kwanza hadi zijae ili mjenge port nyingine? Au mnataka tu kujenga ili ionekane kwamba serikali yenu inafanya kazi hata kama hakuna misingi yoyote ya kujenga Bagamoyo port? Sioni haja ya kujenga Bagamoyo port karibu na Dar port. Huo ni ujinga tu na njia ya kupoteza pesa ya umma. Kama lazima mjenge port ya nne kwenye bahari la hindi basi mjenge port mahali ambapo hakuna port kwa mfano Kilwa. Bandari la Kilwa ni nzuri kwa sababu Kilwa ipo katikati mwa Dar na Mtwara. Halafu TZ haina container traffic ya kutosha ya kujustify kujenga an entirely new green-field port. Idadi ya port sio muhimu. Afadhali muwe na port moja kubwa kama Kenya bora ipo efficient na mizigo hazichelewi bandarini kushinda kuwa na ports kumi ndogo ndogo ilhali mizigo zinachelewa bandarini. Idadi ya port sio issue, issue ni "how efficient is your port?" Hayo ni maoni yangu tu kuhusu hili jambo, I may be wrong but that is what I think about this issue.
Kenya na Tanzania zote kwa sasa hazihitaji bandari kubwa Kama Bagamoyo na Lamu port
 
lile tukio letu pendwa kule uganda linaanza saa tano.. dstv 286 (nbcst) wanaonyesha
Yaani huu mradi unaenda kuwapa Uganda freedom ya pili maana hata export na import route yao itabadilika! Uganda watakuwa na ports mbili kwa ajili ya import and export yaani Tanga port and Mombasa port! Wanaomkandia JPM hawajui watendalo yaani jamaa in less than 3 years kapanua Tanga port kafufua MGR ready for EACOP. Na saa hii SGR inakata mbuga lot 5 imeanza! The guy is no more withus but he left a mark that will never be erased.

Tony254
 
Yaani huu mradi unaenda kuwapa Uganda freedom ya pili maana hata export na import route yao itabadilika! Uganda watakuwa na ports mbili kwa ajili ya import and export yaani Tanga port and Mombasa port! Wanaomkandia JPM hawajui watendalo yaani jamaa in less than 3 years kapanua Tanga port kafufua MGR ready for EACOP. Na saa hii SGR inakata mbuga lot 5 imeanza! The guy is no more withus but he left a mark that will never be erased.

Tony254

Mashavu kichere anajaribu kutaka kuifuta hiyo legacy ya jiwe. Lakini yeye ndo atajifuta mwenyewe na ustadhi Assad wake.
 
Yaani huu mradi unaenda kuwapa Uganda freedom ya pili maana hata export na import route yao itabadilika! Uganda watakuwa na ports mbili kwa ajili ya import and export yaani Tanga port and Mombasa port! Wanaomkandia JPM hawajui watendalo yaani jamaa in less than 3 years kapanua Tanga port kafufua MGR ready for EACOP. Na saa hii SGR inakata mbuga lot 5 imeanza! The guy is no more withus but he left a mark that will never be erased.

Tony254
JPM ametuacha kimwili ila ataishi na Taifa hili kwa vizazi na vizazi hasa fikra na maono yake ta Tanzania Mpya aliyokua anaitaman.
 
Mashavu kichere anajaribu kutaka kuifuta hiyo legacy ya jiwe. Lakini yeye ndo atajifuta mwenyewe na ustadhi Assad wake.
Lazima kuna kundi kubwa lisilopenda legacy nzuri aliyoiacha Mteuliwa huyu /Kichere
 
Asante sana mkuu, umeongea kizalendo sn.
Vile Kenya wasivyopenda kuona hilo Bomba linaenda kua Real Deal kwa TZ.


Hakika JPM Umetuacha salama go Baba go Chuma, u did ur Part.
Wacha tuone kama kitatiwa saini. Na kikitiwa tuone jinsi Wakenya watareact kwenye twitter na kwenye media. Mimi mwenyewe sikufurahia kunyang'anywa tonge mdomoni. Sio tabia nzuri hilo. Hata sisi tutakuja kuwafanyia hivo siku moja.
Tony ona hapa naangalia live from Kampala via TBC wewe endelea kusubiri, JPM rest well baba hatimaye mambo yanakwenda kuiva.

IMG_20210411_112419_366.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom