Da Pride
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 528
- 561
Labda nikwambie kitu Tony254, kama tukikaa mezani na kujadili vizuri project hiyo, ni wazi kabisa ujenzi wa Bandari kubwa Bagamoyo italeta mchango mkubwa sana Kiuchumi kwani itachochea Biashara, Viwanda, Agribusiness, Madini na sekta nyingine nyingi.Sawa. Wacha tungoje mapendekezo tuyaone.
Shida ni hao wawekezaji lengo lao ni kutaka Ardhi hii iwe sehem ya China Province kitu ambacho hakikubaliki yaan China ndani ya Tanzania.
If I were Me

ningependekeza ujenzi wa bandari hyo uje na mipango ya kuziboresha na kuziongezea Uwezo Zaidi Bandari zote za Pwani na Maziwani ili kuleta mjumuiko mzuri wa usafishaji.

