Ha ha ha umeandika kwa hisia kali sana Buda kana kwamba unatuonea huruma sana waTZ kumbe nothing rather than kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Kwanza tambua Tanzania ndo nchi pekee dunian inayopakana na nchi nyingi kuliko zote Duniani yaan Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, D. R. Congo, Zambia, Malawi na Mozambique hivyo kufanya tuwe na strategic Borders Nane.
Pili, tunaweza kujenga Bandari nyingi kwa matumiz mbali mbali sio lazima iwe mix cargos like Dar Port, mfano mdogo ni Tanga Port expansion aimed to handle Bunch of oil From Hoima, hapo inaifanya Bandari hiyo kudeal zaid na Mafuta huku Dar Port ingeweza kua ya Magari zaid kwan mpk sasa ndo Bandari inayooongoza kwa kupakua Magari ukanda huu as we speak.
Kinachofanya kudelay au termination ya Bagamoyo Port sio kwa kua tunabandari nyingi ambazo zipo under expansion la hasha. Ni mkataba ulivyokaa, mkataba umekaa kinyinyaji zaid sio win win treaty but Parasitic One that Tanzania will provide land that gonna be under Chinese for about 99 yrs leased kitu ambacho ni Mkunya tu aweza kubali ujinga huo.
N. B: Tanzania bado inahitaji kuwekeza zaid katika miundombinu wezeshi ili kujenga uchumi imara na endelevu kwa ustawi Jamii nzima.