Simba 254
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 2,679
- 1,766
Kwani nini imewekwa? Tumia machoAlafu walivyo wachafu nje wameshindwa hata kuweka pavings.
Kwani nini imewekwa? Tumia machoAlafu walivyo wachafu nje wameshindwa hata kuweka pavings.
We jamaa utakua huna akili timamu,unapata ujasiri wa kulinganisha mkapa stadium na huo uchafu wenu.? 😂😂😂, Yani hata kuona vizur tu unashindwa.?Wacha bana. Siongelei vitu za kijinga, umewahi sikia kitu kama IAAF wakileta mashindano kwingine kama sio Kasarani!?
Kwa sasa tunajiandaa na World Under 20 Athletics. Over 90 countries confirmed.
Halafu World Safari Rally. Its venue will be Kasarani.
Heb we nae acha kujidhalilisha, mkapa stadium hauna mpinzani EAKwani nini imewekwa? Tumia macho
Kenya rail network imefika lini +3000 km? na road network 246700 km umejumuisha na tope roads ama? 🤣 🤣 ☝️View attachment 1744485hapa ndo loans zilenda 😇😇
Huyo jamaa wa kuitwa Simba ninamashaka na akili zake kama ni timamu au lahasha,hizo kilometa elfu tatu za reli sijui ni kutoka wapi hadi wapi yaani duh,tusiseme sie wenye kila aina ya reli eti wanajimwambafai wao, ushuzi mtupuKenya rail network imefika lini +3000 km? na road network umejumuisha na tope roads ama? 🤣 🤣 ☝️
Kitu kina kunguni hiki!
Hizi ndio miradi hata mkichota fedha imf mnaeleweka sio eti coronaEfforts are being done to make sure all estate roads in Mombasa are tarmacked and marked.
Like the one below completed only this week with ongoing works being construction of the sidewalks
View attachment 1744508
View attachment 1744514
umeona nairobi barabara zote za high-end areas ziko paved? ni ngumu upate vumbi mahali kama Karen
Unacheka nn
Iyo ni point...Hapa Dar pia barabara zinajengwa sana...hadi uswahilini uko wanapata miradi ya barabara za kisasaumeona nairobi barabara zote za high-end areas ziko paved? ni ngumu upate vumbi mahali kama Karen
Ati Rwanda rail network ni 3,383 kms! au ni kms zipi mnamaanisha? Una matatizo ya akili wewe.
Rwanda ipo sawa na Kenya kwenye Rail network alafu Rwanda ameizidi Ethiopia, huwa akili zao ndogo sn wakitengeneza hivyo vi report vyao wanasahau kutumia logic tu ili at least uongo uende mbali, alafu na haya majinga yanayopost humu huwa yakikuta tu yanachukua pasipo ku reason ili mradi tu report ioneshe Kenya imeizidi Tz.Ati Rwanda rail network ni 3,383 kms! au ni kms zipi mnamaanisha? Una matatizo ya akili wewe.
Hilo tahira la kuitwa Simba uskute hata linatengeneza lenyewe hizo taarifa ili lijifarijiRwanda ipo sawa na Kenya kwenye Rail network alafu Rwanda ameizidi Ethiopia, huwa akili zao ndogo sn wakitengeneza hivyo vi report vyao wanasahau kutumia logic tu ili at least uongo uende mbali, alafu na haya majinga yanayopost humu huwa yakikuta tu yanachukua pasipo ku reason ili mradi tu report ioneshe Kenya imeizidi Tz.
View attachment 1744733
Nilishawahi kujibizana nalo one time lina channel yake uko YouTube.kwahiyo bro The best 007 asikuumize kichwa huyo




