Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nitakuwa na wasi wasi na wa Ke kukutafuta kabla ya Tz
Hao hawaniwezi Wapambane na hali yao 2022 inakuja, walinichokonoaga kipindi cha mwanzoni mpaka kuandika opinion za kumkandia Geza Ulole the East African wakachoka!
 
safii sana nina imani na huyu mama maana ile sector inahitaji manguli wa rasilimali za gesi lasivyo tungeenda kupigwa maana ingetia woga kwa wawakilishi wetu kufanya majadiliano kwa maslahi mapana ya nchi!

safii sana nina imani na huyu mama maana ile sector inahitaji manguli wa rasilimali za gesi lasivyo tungeenda kupigwa maana ingetia woga kwa wawakilishi wetu kufanya majadiliano kwa maslahi mapana ya nchi!
IMG-20210405-WA0007.jpg
 
Vp hii news ni fake nn? April fools bado inaendelea tu?


Nimeenda ku-check mwenyewe! Unajua Multinational companies wana mbinu nyingi. Na jamaa anawatilia ngumu ndo maana unaona mara atolewe mara arudishwe yaani misukosuko kibao! Ila naamini atatuletea deal zuri kama Trinidad and Tobago gas agreement! Mungu amlinde Bwn Matarajio!

Mimi nimependa sana uamiuzi wa kuanzisha kitengo cha kutafuta mafuta na haswa kwa kutumia experience ya Uganda! Na pia uamuzi wa kusambaza gesi ikiwemo plan ya kujenga bomba kwenda Uganda kupitia Tanga na vituo vya kujaza gesi kwenye magari japokuwa ni mradi unaoenda poplepole lakini ninajua financing ipo adimu! Mafuta yakipatikana tutakuwa na a very big say kwa whoever will be interested to develop the deposits found!




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dkt. James P. MATARAGIO kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).


Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue uteuzi huo ulianza tarehe 15 Desemba, 2014.

Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekani akiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni kama ifuatavyo:-


ELIMU:-

· Masters in Business Development (MBA), Chuo Kikuu cha Charlotte, North Carolina, Marekani (2008)

· PhD (Geochemistry, Mineralogy, Structural Geology and Petroleum Geology), Chuo Kikuu cha Missouri – Rolla, Missouri, Marekani (2005)

· MSc (Geochemistry and Petrology), Chuo Kikuu cha Okinawa, Japan (1997)

· BSc(Hons) (Geology), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, 1994


UZOEFU WA KAZI:-


· Mwaka 2004 – hadi sasa, Senior Geoscientist, Bell Geospace Inc, Houston, Texas, USA

· 2001 – 2004, Mhadhiri Msaidizi, Chuo Kikuu cha Missouri, wakati akisoma Shahada ya Uzamivu

· 2000 – 2001, Mhadhiri Msaidizi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

· 1999 – 2000, Meneja Mradi, Anglo Gold (Buzwagi)

· 1994 – 1999 -, Exploration Geologist, Anglo America Corporation.


Miongoni mwa makampuni makubwa ya kimataifa ya mafuta na gesi aliyofanya nayo kazi kwa niaba ya mwajiri wake Bell Geospace ni pamoja na Petrobras (Brazil); BP; Anadarko; Tullow; Pemex (Mexico); ANP (Brazil), Ecopetrol (Colombia); Petronas, (Malaysia) na Vale Rio Doce.


Aidha, Dkt. James P. MATARAGIO ni mmoja wa wataalam wa sekta ya madini, mafuta na gesi asilia waishio Marekani (Diaspora) ambao walijitolea kuishauri Serikali kuhusu sekta hiyo bila malipo.


Kwa kuzingatia elimu yake, uzoefu wake na uzalendo wake, Rais ana matumiani makubwa kuwa Dkt. James P. MATARAGIO ataleta nguvu mpya na uzoefu mkubwa wa kimataifa katika kuiongoza TPDC ili iwe kampuni kubwa ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia kama yalivyo makampuni mengine ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia duniani.
 
Huyu mama nahisi hayuko smart enough kum replace Jiwe, unateua mwenyewe zen within 12 hours unatengeua which means kuna watu wanakuletea majina pasipo kujilidhisha, anyway tumpe muda.
Kwahiyo ulitaka mama amuache huyu kada kitengo kile chenye miradi inayojadiliwa isiyopungua $40 bln kada huyu wa CCM?

2733407_Screenshot_20210405-095757.jpg


Aisee tema mate!
 
survived by receiving food donations from 100% dry land countries 🤣🤣🤣

Donations cannot sustain the feeding of 50 million people. Such things are just PR between countries. And if you have brains, the 100% dry nation you talk about here always is among the leading producers of oil. Riches doesn't only come from farming.
 
Ss wkt anamteua mana ake hakuwa anajua? Ok tuachane hz habari.
Mkuu, sioni haja ya kujadili sana kuhusu anayofanya huyu mama, tumpe muda tukutane tena baada ya miaka miwili ijayo, ila ninachokiona ni fujo na vurugu chini ya uongozi wake, kutakua na fujo sana ndani ya CCM na serikali, yanarudi makundi yaliyokuwepo katika kipindi cha Kikwete, Am not a prophet neither a devil, I rest my case"

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Donations cannot sustain the feeding of 50 million people. Such things are just PR between countries. And if you have brains, the 100% dry nation you talk about here always is among the leading producers of oil. Riches doesn't only come from farming.
Ilo jamaa linaongeaga pumba tuu huyo ndio kigogo wa kenya
 
Back
Top Bottom