Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Covid 19 protocol at Jamia Mosque Nairobi
20210405_170953.jpg
 
Uyu Mama ni replica ya JK, Tutaona maisha yanarudi kua marahisi But akiweza kua mkali kwa wazembe kama JPM hakika atafanya makubwa
Chama hakitaruhusu huyu mama awe mdebwedo kama J.K sababu wanajua kilichompa credit JPM na CCM ni utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Sasa kama miradi haitatekelezwa kama inavyotakiwa na kwa muda muafaka basi CCM itakuwa katika wakati mgumu sana na hawatathubutu kumrudisha tena huyu mama kwenye position ya mgombea urais 2025.

Lakini bado ni mapema mno kumuhukumu huyu mama maana ndio ameanza tu pia tukubali tu ukweli kwamba huyu mama hataweza kufanya mambo kwa kasi ya JPM. Cha msingi tu hapa hadi 2024 miradi yote mikubwa kama JNHP project na SGR iwe imekamilika au imekaribia kukamilika.
 
Covid 19 protocol at Jamia Mosque Nairobi
View attachment 1744416
Muda si mrefu uhuru atatangaza wave nyingine ya nne ya covid-19 Kenya na partial lockdown then ataomba mkopo wa kupambana na Covid-19.4 Kwa kweli wakenya nawaonea huruma jinsi wanavyohangaishwa na serikali yao kwa mambo ya kijinga kabisa halafu wanaibiwa mabilion ya fedha kwa mgongo wa covid. Rais wao anahangaika utadhani mwanasayansi yupo maabara anafanya majaribio ya dawa ya covid! 😀 😀 😀 😀
 
Tiss haiaminiki kwa sasa,wanaonyesha udhaifu kila wakati,jamani mama sijui afanye nini kwenye hii idara
 
Back
Top Bottom