Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kama unaongelea hio picha, ni mtu alikuwa kwenye folen alipiga video na simu.. niliiona twitter .. sasa hapo hakukuwa na mtu kwa mbele anaeweza kuangalia kama wanavyofanya saiz
Wengine walitumia saa, huku Dar ilikuwa huruhusiwi kuvaa saa wala kushika simu.
 
Mzee hata tukisema 2% wanafanya import/export business bado 98% hawafanyi biashara hio. Duniani kote watu wanaofanya biashara hii ni wachache sana. Fact inabakia pale pale kwamba customers wengi wa benki hawafanyi import/export business.
Mpuuze hyo, yani benki wateja wengi wawe ni jamaa wa imports/exports..
Mi sidhani km itatokea
 
Unatafuta pakutokea kwamba tulisema munamiliku ndege tatu wenzako wakaelewa wewe hukuelewa au

Kwamba hata CS macharia leo hajui kuliko wewe







Humu kuna kq financial statement na iko very open kwamba fully owned aircraft nitatu chakavu boeing737
Mbna unajirudia rudia jomba, leta source yyte kutoka KQ ku back-up your claims..
 
Back
Top Bottom