Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani wajaribu tu kuangalia toka Dar mpaka saivi Geita, msiba kote ulipopita barabarani

Kitu wasichojua ni kwamba umaarufu mkubwa wa Magufuli kaupata kwenye ujenzi wa barabara Tanzania nzima, kwa hiyo kama tujuavyo hakuna kiongozi Kenya toka iwepo na kuendelea atakuja kufanana na Magufuli ndio hivyo hivyo Kenya haitokuja kufanana na Tanzania kwenye issue ya ubora wa barabara na upana wa mtandao wake.

Nimeexperience Mwenyewe Wakati Waziri Wa mambo ya nje Wa China Alipokuja. Nilitakungulia na gari na kukanyaga hadi Chato . Barabara Nzuri sana. Na njiani nimeona Vitu vizuri sana. Ilikua ni Experience nzuri sana. Unforgetabble.

IMG_4500.jpg


IMG_4499.jpg

IMG_4498.jpg

IMG_4497.jpg

IMG_4496.jpg


Hii ni Js Safari ipo Karibu na Uwanja wa Ndege, Museven School na VETA. Pazuri sana kwa Utalii.

Mzee wetu kaondoka mapema Sana. Watanzania Tutamkumbuka milele.

IMG_4549.jpg

IMG_4551.jpg

IMG_4552.jpg
 
wale wale yani
View attachment 1733707View attachment 1733708

somen paragraph ya kwanza mwishoni
the legal title is to be transferred to Kenya Airways Plc once the loans are fully repaid

kwa maneno haya tunathibitisha KQ inamiliki ndege 3 kihalali. full stop
View attachment 1733709

vip komora096 bado unabisha?

Tony254 any comment?
Link gani unataka 🤣🤣👇👇 usichanganyikiwe relax budaa
ichoboy01 ebu isome hii report
wale wale yani
View attachment 1733707View attachment 1733708

somen paragraph ya kwanza mwishoni
the legal title is to be transferred to Kenya Airways Plc once the loans are fully repaid

kwa maneno haya tunathibitisha KQ inamiliki ndege 3 kihalali. full stop
View attachment 1733709

vip komora096 bado unabisha?

Tony254 any comment?
 
wale wale yani
View attachment 1733707View attachment 1733708

somen paragraph ya kwanza mwishoni
the legal title is to be transferred to Kenya Airways Plc once the loans are fully repaid

kwa maneno haya tunathibitisha KQ inamiliki ndege 3 kihalali. full stop
View attachment 1733709

vip komora096 bado unabisha?

Tony254 any comment?
Hvi wakat mm naimba huu wimbo miaka miwili mlikua hamnielewi😀😀😀 nimesema haya maneno two yrs ago kq inamiliki ndege tatu hata mbunge wao aliyasema bungeni dhahiri kabisa
 
Msaidie mwenzio kuleta source jamani kutoka KQ, maneno mengi wala hayatawasaidia heri mnengue tu..
Mwenzenu jichoboy kakimbia
Wewe na cs macharia nani tumuaminu na nani anaijua kq kindakindaki 👇👇🤣🤣
 
Msaidie mwenzio kuleta source jamani kutoka KQ, maneno mengi wala hayatawasaidia heri mnengue tu..
Mwenzenu jichoboy kakimbia
Unatafuta pakutokea kwamba tulisema munamiliku ndege tatu wenzako wakaelewa wewe hukuelewa au🤣🤣🤣🤣🤣

Kwamba hata CS macharia leo hajui kuliko wewe







Humu kuna kq financial statement na iko very open kwamba fully owned aircraft nitatu chakavu boeing737
 
Msaidie mwenzio kuleta source jamani kutoka KQ, maneno mengi wala hayatawasaidia heri mnengue tu..
Mwenzenu jichoboy kakimbia
Umefunga we na nani, lete official source kutoka KQ kwanza ndio tufunge mada
Uhehehhehehhehehehehehehheheh wenzako wote wameelewa ispokua wewe tu mpuuzi unaejifanya unajua zaidi kuliko cs macharia 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇


F95F8290-B0B6-46B5-9690-12519A344737.jpeg
 
Nimeexperience Mwenyewe Wakati Waziri Wa mambo ya nje Wa China Alipokuja. Nilitakungulia na gari na kukanyaga hadi Chato . Barabara Nzuri sana. Na njiani nimeona Vitu vizuri sana. Ilikua ni Experience nzuri sana. Unforgetabble.

View attachment 1733918

View attachment 1733919
View attachment 1733920
View attachment 1733921
View attachment 1733922

Hii ni Js Safari ipo Karibu na Uwanja wa Ndege, Museven School na VETA. Pazuri sana kwa Utalii.

Mzee wetu kaondoka mapema Sana. Watanzania Tutamkumbuka milele.

View attachment 1733924
View attachment 1733925
View attachment 1733926
Magufuli kwenye miundombinu katuheshimisha sana Daima atabaki miyoyoni mwetu mpaka tutakapoonana tena

Moja kati ya kazi zake za Hivi karibuni, hata hajaizindua maskini

ExQN_TMXEAY_XWl.jpg
 
Back
Top Bottom