Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Ati Tony254 Hii ni interchange huko Kenya?
Old man, i was comparing with the road your fellow lazy man posted not interchange.Hii ni interchange?
Unaumia sana kuona jinsi alivyopendwa,bado kuwa mvumilivu hadi keshoMzikeni huyo mzee wenu yuatoa harufu.
R.I.P JPM. We will always remember you through the good things you have done for our lovely country!


Tiss kuna wasiliti mama ana kazi ya kufanya hakika,la sivyo...
Licha ya hivyo kuna kitu kifanyike ktk idara ya usalama wa rais na ikulu kwa ujumla,naona kama kuna madhaifu..kama unaongelea hio picha, ni mtu alikuwa kwenye folen alipiga video na simu.. niliiona twitter .. sasa hapo hakukuwa na mtu kwa mbele anaeweza kuangalia kama wanavyofanya saiz
Madhaifu au udhaifu. Hata kiswahili hukijui?Licha ya hivyo kuna kitu kifanyike ktk idara ya usalama wa rais na ikulu kwa ujumla,naona kama kuna madhaifu..
Madhaifu au udhaifu. Hata kiswahili hukijui?
Mkenya anamfunza mtanzania kiswahili, si ajabu hii!?Madhaifu au udhaifu. Hata kiswahili hukijui?
evidence the percentage is the same for DRC market?99.8% ya wateja wa Equity hawafanyi import/export business.
Please nakuomba sijawahi kuquote naomba na wewe usije kuniquote hata siku 1,kaa mbali na comments zangu please naomba kwa heshima.Not impressive, mpaka Turkana ziko. Too much hype for nothing. Tanzania nzima interchanges ni tatu kenya haziesabiki. expressway zero, by passes zero. Pathetic
Mzee hata tukisema 2% wanafanya import/export business bado 98% hawafanyi biashara hio. Duniani kote watu wanaofanya biashara hii ni wachache sana. Fact inabakia pale pale kwamba customers wengi wa benki hawafanyi import/export business.evidence the percentage is the same for DRC market?
Nataka evidence ya market ya wateja wa Equity bank DRC 99.8% hawako kwenye import na export business mzee wacha kupoteza muda!Mzee hata tukisema 2% wanafanya import/export business bado 98% hawafanyi biashara hio. Duniani kote watu wanaofanya biashara hii ni wachache sana. Fact inabakia pale pale kwamba customers wengi wa benki hawafanyi import/export business.
R.I.P JPM. We will always remember you through the good things you have done for our lovely country!
Mpaka sasa najiuliza nani alimpa Lissu Taarifa za ugonjwa wa mkuu.Tiss kuna wasiliti mama ana kazi ya kufanya hakika,la sivyo...
Tuache utani, hii quality jirani zetu hawana. Achilia mbali ni electric but hata the way ilivyo ni quality ya hali ya juuR.I.P JPM. We will always remember you through the good things you have done for our lovely country!
Sure.Tiss kuna wasiliti mama ana kazi ya kufanya hakika,la sivyo...