Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Piston imetokea mbavuni 🤣🤣🤣 inaonesha jamaa alikanyaga mafuta kwenye mteremko
F7D753B1-58D4-4882-AF1C-07E0F3A9FA1E.jpeg
 
😁😁😁😁 maskini pesa za taxpayers 1.96b ksh ila mchina sijui kama ataenda mbinguni
 
Hahah komora096 umeskia kq wameomba mkopo wa 28b ksh, wakapewa 6b ksh lakini cha ajabu imeleta loss ya 36b ksh yani loan juu ya loss😂😂 alaf wanakwambia kama huo mkopo hautapatikana wafanyakazi 4000 nyumbani👇👇👇👇👇
 
So cs hana habari kabisa kuliko wewe[emoji1787][emoji1787] kichaa sio lazma avue nguo
Km angelikua na habari asingeliita ripoti yake press[emoji1787][emoji1787]
Angeliiweka hzo data katika official websites za KQ
 
So cs hana habari kabisa kuliko wewe[emoji1787][emoji1787] kichaa sio lazma avue nguo
Km angelikua na habari asingeliita ripoti yake press[emoji1787][emoji1787]
Angeliiweka hzo data katika official websites za KQ
 
ichoboy01 ebu isome hii report
 
ichoboy01 ebu isome hii report

ingia humu ndan afu search neno loans [emoji23][emoji23]
IMG_1616619204.196169.jpg
IMG_1616619213.805468.jpg
 
wale wale yani
IMG_1616619472.141794.jpg
IMG_1616619484.827692.jpg


somen paragraph ya kwanza mwishoni [emoji116][emoji23]
the legal title is to be transferred to Kenya Airways Plc once the loans are fully repaid

kwa maneno haya [emoji1318] tunathibitisha KQ inamiliki ndege 3 kihalali. full stop
IMG_1616619523.007708.jpg


vip komora096 bado unabisha?

Tony254 any comment?
 
Back
Top Bottom