ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Ananiuliza cs macharia ni waziri wa nn 🤣🤣🤣👇👇👇👇Macharia ni waziri wa nn? Tena mbona katika post yake sijaona 17 za loan, we ulizitoa wapi..
Ananiuliza cs macharia ni waziri wa nn 🤣🤣🤣👇👇👇👇Macharia ni waziri wa nn? Tena mbona katika post yake sijaona 17 za loan, we ulizitoa wapi..
Sasa unekubaki kwamba munamiliku ndege 3 🤣🤣🤣🤣 alaf unaniuliza mm kwanini loss iko paleTuletee data hapa km mumepata faida kiasi gani
Sio anisaidie hata ukijitia uchizi hutoki hapa 🤣🤣🤣👇👇👇Msaidie mwenzako kuleta 17 za loans
🤣🤣🤣🤣🤣 anajitia uchizi yani wanunuliwe ndege 20 na mabenki ya wazungu kwa interest kubwa alaf wamelipa tatu tu zile chakavu zilizobaki wameshindwa kulipa na bado hasara ya 36.6b ksh iko mezanimim nikikupa gari langu ulitumie afu ukawa unalilipa kidogo kidogo, gari ni la kwako??
Financed by who?? 😄😄😄 kwani hili neno fully paid lipo hapo chini 👇👇👇Nipe maana ya neno "owner" kwanza alafu uje umsaidie mwenzako
Anafkiri huyu jamaa alieuliza hana akili 🤣🤣🤣👇👇👇mim nikikupa gari langu ulitumie afu ukawa unalilipa kidogo kidogo, gari ni la kwako??
Tusema waio finance kununua ni serekali ya kenya au sio 🤣🤣🤣🤣🤣 ndio maana wakafkiria kusema fully paid ni 3 aircraftsNipe maana ya neno "owner" kwanza alafu uje umsaidie mwenzako
Cs wako mbona hakutwambia kuhusu hilo, hii umetoa wapi? Nioe link yake
So ushamjua cs macharia ni nani sasa 🤣🤣🤣🤣🤣 miaka 40 fully paid only 3 aircrafts alaf unashangaa kwanini loss iko mezaniCs wako mbona hakutwambia kuhusu hilo, hii umetoa wapi? Nioe link yake
Table aliyepost yeye na yako ya loans haziendaniSo ushamjua cs macharia ni nani sasamiaka 40 fully paid only 3 aircrafts alaf unashangaa kwanini loss iko mezani


Financed by who ?? Kwamba walipo sema fully owned hzo tatu walikua wanamaana gani 🤣🤣🤣🤣🤣 unaogopa aibuCs wako mbona hakutwambia kuhusu hilo, hii umetoa wapi? Nioe link yake
Table aliyepost yeye na yako ya loans haziendani
Unaforce tu zee la ku crop
Link kutoka KQ iko wapi mzee tumalize hili swala, au nikuache uendelee na unenguajiSo ushamjua cs macharia ni nani sasamiaka 40 fully paid only 3 aircrafts alaf unashangaa kwanini loss iko mezani
So cs macharia kawatag kenya airways na transport kenya huoni hapo 🤣👇👇👇Link kutoka KQ iko wapi mzee tumalize hili swala, au nikuache uendelee na unenguaji
Atcl pia haimiliki hata ndege moja


Link kutoka KQ jombaSo cs macharia kawatag kenya airways na transport kenya huoni hapo
Zinamilikiwa na nani ??? Hebu tupe habari😁Atcl pia haimiliki hata ndege moja![]()
Shirika lenu limeingiza faida ya shingapiHahahhahaha nimecheka sana eti mtu anaogopa kuambiwa miaka 40 wanamiliki ndege tatu alaf wanatafuta mchawi wa loss![]()
Loss imefika mara tatu ya 2019![]()