Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hamna mtambo wa scanner kama huu ndo maana loaded doublestack haiwezekani! Kingine mna axle load limit ya 25 tons agianst axle load of 35 tons for electrical SGR Tanzania!
2722635_TPAscanner.png


Onyesha doublestack wagon zikipimwa Mombasa port!



Onyesha
We mzee si umerogwa na wenye chuki zao jamani
 
leta doublestack scanners kama hizo in the whole of Kenya! Hii scanner ina uwezo wa ku-scan moving train at a speed of 30km/h!
Tulete kwn sisi tunafanya kazi port, hivi wewe unaakili kweli au umeazima, yani sgr kenya itoe empty containers mombasa izipeleke nairobi..
Nimeanza kuwa na mashaka na akili zako sasa
 
Tulete kwn sisi tunafanya kazi port, hivi wewe unaakili kweli au umeazima, yani sgr kenya itoe empty containers mombasa izipeleke nairobi..
Nimeanza kuwa na mashaka na akili zako sasa
Huyo jamaa saa zingine akili yake huwa haifanyi kazi. Nimewachana naye tu juu nimeshindwa kuargue na huyo wazimu. Empty containers huwa zinatoka Nairobi zikija Mombasa, leo huyu wazimu anasema eti empty containers zinatoka Mombasa zikienda Nairobi. Zinaenda Nairobi kufanya nini? Jamaa hata hatumii akili.
 
onyesha ikipima doublestack trains at a speed of 30 km/h!
Jaribu kutumia akili saa zingine. Wacha kuwa mtu wa hovyo. Kuna scanning ya aina nyingi. Hivi wewe hujui kwamba kuna njia nyingi za kuscan containers? Ama wewe unadhani tu kwamba kuna njia moja tu ya kuscan containers? Containers zinaweza kushushwa from the train then zikapandishwa kwenye trucks kisha zikawa scanned wakati trucks zinapopita kwenye truck scanner. Ama unadhani Nairobi Embakasi ICD haina truck scanners? Tazama hapa chini na uwache uropokaji.
1616579958870.png

Na utazame hii video fupi uone truck scanners zipo embakasi ICD.


Scanning kutumia truck scanners inatake more time kushinda scanning kutumia train scanners lakini scanning kutumia truck scanners still works na hata hapo Dar port pia bado mnatumia truck scanners ama kama unapinga sema nikuletee ushahidi? Hii sector ya uchukuzi naona huielewi sana. Una matatizo ya ubongo.
 
Jaribu kutumia akili saa zingine. Wacha kuwa mtu wa hovyo. Kuna scanning ya aina nyingi. Hivi wewe hujui kwamba kuna njia nyingi za kuscan containers? Ama wewe unadhani tu kwamba kuna njia moja tu ya kuscan containers? Containers zinaweza kushushwa from the train then zikapandishwa kwenye trucks kisha zikawa scanned wakati trucks zinapopita kwenye truck scanner. Ama unadhani Nairobi Embakasi ICD haina truck scanners? Tazama hapa chini na uwache uropokaji.
View attachment 1733219
Na utazame hii video fupi uone truck scanners zipo embakasi ICD.


Scanning kutumia truck scanners inatake more time kushinda scanning kutumia train scanners lakini scanning kutumia truck scanners still works na hata hapo Dar port pia bado mnatumia truck scanners ama kama unapinga sema nikuletee ushahidi? Hii sector ya uchukuzi naona huielewi sana. Una matatizo ya ubongo.

sasa kwa train zinazoingia (MGR na CGR) kwanini tupime kwa trucks pumbavu wewe? Ubishi umehamia kwenye kutotumia train scanners za Dar sio ?
 
sasa kwa train zinazoingia (MGR na CGR) kwanini tupime kwa trucks pumbavu wewe? Ubishi umehamia kwenye kutotumia train scanners za Dar sio ?
Dar mnatumia truck scanners sasa sijui unapinga nini. Sijasema kwamba hamna train scanners bali mnatumia zote.

Fact ni hii hapa hata ukibisha. Nairobi ICD inapokea double stack containers zote zikiwa fully loaded. Kisha zinapakuliwa from train to trucks kisha truck scanners zinatumiwa kuziscan. Sio lazima tutumie train scanners katika Nairobi Embakasi ICD.
 
Wao wametoa wapi
Hapa huwezani mzee baba, utanengua mpka ukafe..
Ile siku utaniletea official source kutoma KQ ndio utaeleweka mzee baba
So ww na cs macharia nani ni waziri na nani mkuu wa kitengo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Au wewe unajua zaidi kuliko waziri mwenye wizara husika
 
Back
Top Bottom