Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Taahira lao limeshaona linaaibika

Walikuwa wanaongopa eti Magu anachukiwa ss wameumbuka, mm kesho mamaaee mapema sn nipo taifa na sitovaa barakoa na sinampango huo nitaenda kumuaga JPM, unajua mm nmeumia sn kwnz nilipanga kumuona Magu Mana hakuna Rais wa Tz cjamuona, wawili kati yao nmeshikana nao mikono (JK & MKAPA) ila unfortunately Magu ckuwahi kumuona live lkn nilikuwa najiaminisha kwmb nitamuona tu haina shida, ile cku anaenda kisutu kwa bahati mby tulipishana, so kesho piga ua lazima nikamuage inshallah, naumia sana kwmb naenda kuuona mwili lkn nitaandika nmewahi kumuona.
 
Maisha ni mafupi sana, wkt unaishi uwe na lengo la kuacha legacy km alivyofanya the late Magufuli, ona watu walivyoumbuka, nilikuwa nasema kila siku na mm huwa sipendi kucoment jukwaa la siasa lkn jana nilikoment kwenye mada flani nikawaambia Magufuli alichukiwa na wachache ambao ni mafisadi, wala rushwa, majambazi, wachache waliotumbuliwa ambao hawajitambui na wauza unga, lkn majolity walimpenda ila km hamuamini subirini muone cku ya kuagwa, ss nadhani wanaona watu wamejaa hawajali kama ni ucku ama nn lkn wamejaa huku wakitandika nguo zao barabarani, nadhani wazandiki wameumbuka natamani BBC, na mdogo wake CNN waoneshe hii party.
habari wanayo mbona
 
Walikuwa wanaongopa eti Magu anachukiwa ss wameumbuka, mm kesho mamaaee mapema sn nipo taifa na sitovaa barakoa na sinampango huo nitaenda kumuaga JPM, unajua mm nmeumia sn kwnz nilipanga kumuona Magu Mana hakuna Rais wa Tz cjamuona, wawili kati yao nmeshikana nao mikono (JK & MKAPA) ila unfortunately Magu ckuwahi kumuona live lkn nilikuwa najiaminisha kwmb nitamuona tu haina shida, ile cku anaenda kisutu kwa bahati mby tulipishana, so kesho piga ua lazima nikamuage inshallah, naumia sana kwmb naenda kuuona mwili lkn nitaandika nmewahi kumuona.
Hii nchi ina watu zaidi ya mil.55,hakuna ambae anachukiwa na wote au kupendwa na wote

Acha mliompenda mkamuomboleze na sio kila Waliojaa barabarani basi wanasikitika wengine wanaenda kuangalia kinachojiri so hakuna cha kuaibika wala kusifiwa .
 
Maisha ni mafupi sana, wkt unaishi uwe na lengo la kuacha legacy km alivyofanya the late Magufuli, ona watu walivyoumbuka, nilikuwa nasema kila siku na mm huwa sipendi kucoment jukwaa la siasa lkn jana nilikoment kwenye mada flani nikawaambia Magufuli alichukiwa na wachache ambao ni mafisadi, wala rushwa, majambazi, wachache waliotumbuliwa ambao hawajitambui na wauza unga, lkn majolity walimpenda ila km hamuamini subirini muone cku ya kuagwa, ss nadhani wanaona watu wamejaa hawajali kama ni ucku ama nn lkn wamejaa huku wakitandika nguo zao barabarani, nadhani wazandiki wameumbuka natamani BBC, na mdogo wake CNN waoneshe hii party.
Kati ya watu 10 waliokuwa wanamchukia Magufuli,

wa 5 wanamchukia kwa kufata mkumbo

Wa 3 hawajui sababu za kwanini wanamchukia

Wa 2 upinzani uchwara
 
Hii nchi ina watu zaidi ya mil.55,hakuna ambae anachukiwa na wote au kupendwa na wote

Acha mliompenda mkamuomboleze na sio kila Waliojaa barabarani basi wanasikitika wengine wanaenda kuangalia kinachojiri so hakuna cha kuaibika wala kusifiwa .
Naona mods hawanitendea haki.

Narudia, We **** naomba usi quote tena.
 
AFE980C5-6A16-43F4-BA17-659AFA98F829.jpeg
 
Mm najisikia vby mwezi ss, nmepambana sn na hali yng, so inapotokea falamanga anaingia 18 zng nakufa naye hakuna shida, Mana km JPM ali sucrifice maisha yake kwa ajili yetu sisi wanyonge ss con umuhimu wa mm kuwavumilia hawa wapumbavu.

Mm nnayecomment hapa ni graduate na cna kazi since I graduated lkn nilikuwa pamoja na Magu cz najua maana halisi ya uchumi wa kweli, ss inapotokea hawa wasenge wachache wanapotosha umma naruka nao mazima.
Mihemko ya utoto inakusumbua at last ukikua utaacha vapour hizo
 
Pumbavu sn, hawa wapuuzi hatupaswi kuwavumilia, majolity Tz mourn this death, wameumia sn, lkn hawa wapuuzi wachache waliokuwa wanaipa hasara serikali wanaanza kuongea shit za kipuuzi, ss mm leo naonesha upande wangu wapili wa shilingi.
 
Back
Top Bottom