Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe tumezungukwa na wanafiki ***** zao
FB_IMG_1616244545316.jpg
 
Haha ukiwa na neighbor anayeku-witch hunt...!
Unazeeka vibaya mkuu,ukweli ni kwamba hii Dunia is all about maslahi na sio jambo la ajabu kutokea yanayotokea mkuu ni kupambana tuu ndivyo ilivyo all over the world

Duniani hakuna haki ila kuna maslahi tuu
 
. Upinzani wa tz ulikua umefika huku .. tz hakuna wapinzani kuna wapinga maendeleo,roho mbaya,chuki na ushenzi. Najua wengii hii hamkuwahi kuona oky nawapa fursa hiyo now .. Cc Venus Star ichoboy01 The best 007 Geza Ulole Tony254 . Nini maoni yenu .je tuendelee na CCM au tuwape nchi Hawa watu.? Mzee wa against CCM Yosef Festo nini maoni yako .?
Acha upoyoyo wewe hizo chuki alizipanda mwendazake ,nasisitiza utavuna ulichopanda.

Kuna wapinzani zaidi ya 3,000 wako selo kufuatia harakati za uchaguzi uliopita na wengine walikimbia nchi

Ni matumaini yetu mh.Rais atachujua njia ya kuponyesha majeraha kama alivyosema kwenye hotuba yake ya kwanza
 
Am still trying to come to terms with the death of Magufuli. It was really hurting and I could not even believe.

Tanzanians you have lost a great leader who was cherished by many and especially by Kenyans.

Let the free media in Kenya not mislead you. Kenyans loved Magufuli so much.

I loved him too. He and Kagame are the only leaders in East Africa with a true heart of patriotism and love and believe in their countries.

I mourn Magu.
 
Watu wanarundikana kwenye msiba bila kuchukua tahadhari ya covid afu baadae waanze kutafuta mchawi kama wanavyofanya saizi humu ndani.
 
Back
Top Bottom