Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaposema zinakaribiana how!!?
Kwa mfano ukitumia expenditure method kucalculate uchumi wa Tanzania na mimi nitumie income method, tunastahili kupata the same amount. Lakini in reality ni ngumu kufanyika. Kwa sababu nikicalculate income ambayo watu wamepokea katika uchumi fulani ni ngumu itoshane na expenditure ambayo watu wamespend katika uchumi huo. Hii ni kwa sababu ninaweza kosa kuinclude income fulani au expenditure fulani.
Mimi huwa naprefer kutumia production method ambayo tunaangalia value of goods and services produced in an economy. Lakini hapa pia tunaweza kosa kucalculate some goods. Kwa mfano nipo sure kabisa wakati Tanzania inacalculate value of goods produced, huwa hamuhesabu informal sector, yaani sufuria inayotengenezwa na watu wa juakali au wamachinga. Hata wheelbarrow zinazotengenezwa na watu wa juakali huwa hamuhesabu. Hata Kenya tupo hivyo, huwa hatuhesabu vijiko na sufuria zinazotengenezwa na watu wa juakali. Hii ni kwa sababu industries zetu ni ndogo yaani informal. Na hizi small industries huwa nchi za Africa tunazipuuza. Marekani au Ulaya, vijiko vinatengenezwa na viwanda vikubwa na pia serikali inahesabu ni vijiko vingapi vimeundwa mwaka fulani na bei yao ni pesa ngapi, sufuria ngapi ziliundwa, gari ngapi ziliundwa, meli ngapi ziliundwa na value yao ni pesa ngapi?
Hizi methods tatu zinastahili kukupa the same amount lakini kwa sababu binadamu huwa tunasahau kuhesabu kila kitu au tunapuuza kuhesabu vitu basi hazitakupa the same amount.
 
Hivi unajua SA's minerals na tourism revenues combined zinaweza pita hiyo oil ya Nigeria in revenue?
Kitu inayofanya Nigeria kuwa superpower hapa Africa ni their big internal market. Kwa sababu ya population kubwa wameweza kuwa na big internal market. Watu karibu 200 million na wote lazima wanunue chalula kila siku, wote lazima wanunue nguo, wote lazima wanunue madawa wakiwa wagonjwa, 60% wamenunua simu (120 million). 30% wana smartphones (60 million). So Gdp tunahesabu value of goods and services produced in a year. Kama ni goods, imagine unahitaji kilo ngapi za mchele kila mwaka kulisha population ya Nigeria kila mwaka. Kwenye services, imagine Nigeria ina wafanyabiashara wangapi wanaoprovide services ya kuuza chakula? Nigeria ina vinyozi wangapi wanaoprovide services za kunyoa watu? Au wasusi wangapi wanaoprovide services za kusuka wamama nywele? So yaani kama ni value of goods or serives ambayo Nigeria inaproduce, Nigeria lazima iwe inaproduce kwa wingi kwa sababu wana watu wengi wa kupatia hio service. Wana midomo nyingi za kulisha. Wana miili nyingi za kuvisha nguo. Hii ndio maana Mhindi mmoja ni masikini lakini ukichukua nchi nzima ya watu 1 billion unakuta kwamba wana Gdp kubwa inayotoshana na ya Africa. Ilhali India ni ndogo sana geographically ukilinganisha na Africa.
 
Changombe flyover👇👇👇
98733810-FBCF-4BBC-A311-5C6E3FCA97FD.jpeg
 
Kwa mfano ukitumia expenditure method kucalculate uchumi wa Tanzania na mimi nitumie income method, tunastahili kupata the same amount. Lakini in reality ni ngumu kufanyika. Kwa sababu nikicalculate income ambayo watu wamepokea katika uchumi fulani ni ngumu itoshane na expenditure ambayo watu wamespend katika uchumi huo. Hii ni kwa sababu ninaweza kosa kuinclude income fulani au expenditure fulani.
Mimi huwa naprefer kutumia production method ambayo tunaangalia value of goods and services produced in an economy. Lakini hapa pia tunaweza kosa kucalculate some goods. Kwa mfano nipo sure kabisa wakati Tanzania inacalculate value of goods produced, huwa hamuhesabu informal sector, yaani sufuria inayotengenezwa na watu wa juakali au wamachinga. Hata wheelbarrow zinazotengenezwa na watu wa juakali huwa hamuhesabu. Hata Kenya tupo hivyo, huwa hatuhesabu vijiko na sufuria zinazotengenezwa na watu wa juakali. Hii ni kwa sababu industries zetu ni ndogo yaani informal. Na hizi small industries huwa nchi za Africa tunazipuuza. Marekani au Ulaya, vijiko vinatengenezwa na viwanda vikubwa na pia serikali inahesabu ni vijiko vingapi vimeundwa mwaka fulani na bei yao ni pesa ngapi, sufuria ngapi ziliundwa, gari ngapi ziliundwa, meli ngapi ziliundwa na value yao ni pesa ngapi?
Hizi methods tatu zinastahili kukupa the same amount lakini kwa sababu binadamu huwa tunasahau kuhesabu kila kitu au tunapuuza kuhesabu vitu basi hazitakupa the same amount.
Kwa mujibu wa maelezo yako haya. Je, kwa kiwango gani GDP ina aksi ukweli kwenye nchi zetu za EA
 
Kitu inayofanya Nigeria kuwa superpower hapa Africa ni their big internal market. Kwa sababu ya population kubwa wameweza kuwa na big internal market. Watu karibu 200 million na wote lazima wanunue chalula kila siku, wote lazima wanunue nguo, wote lazima wanunue madawa wakiwa wagonjwa, 60% wamenunua simu (120 million). 30% wana smartphones (60 million). So Gdp tunahesabu value of goods and services produced in a year. Kama ni goods, imagine unahitaji kilo ngapi za mchele kila mwaka kulisha population ya Nigeria kila mwaka. Kwenye services, imagine Nigeria ina wafanyabiashara wangapi wanaoprovide services ya kuuza chakula? Nigeria ina vinyozi wangapi wanaoprovide services za kunyoa watu? Au wasusi wangapi wanaoprovide services za kusuka wamama nywele? So yaani kama ni value of goods or serives ambayo Nigeria inaproduce, Nigeria lazima iwe inaproduce kwa wingi kwa sababu wana watu wengi wa kupatia hio service. Wana midomo nyingi za kulisha. Wana miili nyingi za kuvisha nguo. Hii ndio maana Mhindi mmoja ni masikini lakini ukichukua nchi nzima ya watu 1 billion unakuta kwamba wana Gdp kubwa inayotoshana na ya Africa. Ilhali India ni ndogo sana geographically ukilinganisha na Africa.
Ngoja nikupe nondo 2019 SA got over $9 bln accounting 3% of SA GDP as tourism revenues alone! Also in the same year SA got around $14 bln as revenues for her mining activities accounting to only 2% of SA GDP! Nigeria oil revenues that account for over 90% of her GDP contributions were $45 bln ! Mind u SA has her cement, sugar n telecommunication companies all over Africa aside retailing companies! Naspers that owns M-Net is all over Africa! They even had Sabmiller breweries all over Africa before being sold to AnhauserBush and remains shareholder there!

Now figure out if oil accounts for 90% of Nigeria GDP and brings $45 bln and mining and tourism alone $23 bln n accounting for only 5% of industrious SA GDP, then where is the Nigeria GDP coming from?
 
Kwa mujibu wa maelezo yako haya. Je, kwa kiwango gani GDP ina aksi ukweli kwenye nchi zetu za EA
Nchi za Afrika huwa hazina uwezo wa kutosha wa kucalculate Gdp accurately. Huwa tunakosa kuculculate kila kitu na hata unakuta kwamba kuna sectors nzima mpya ambazo hazijakuwa calculated.
The main reason ya kufanya kitu kinachoitwa "rebasing the Gdp" ni kucalculate sectors mpya za uchumi ambazo hazikuwa zimejumuishwa hapo mbeleni. Wacha nikupe mfano mzuri. Ict industry haikuwepo hapa Africa in the 1980s au hata early 1990s. Computers zilianza kuwasili Africa pengine 1990s lakini hata hivyo universities na ofisi za kiserikali chache ndio zilikuwa na kompyuta lakini Mtanzania au Mkenya wa kawaida hawakuwa na kompyuta. So Ict industry haikuwa calculated in the Gdp in the 1990s. Tulipofika miaka ya 2,000s kompyuta zikaanza kuwa imported hapa Afrika kwa wingi na hata mtu mmoja mmoja akaanza kumiliki tarakilishi. Makampuni, mashule na watu binafsi wakaanza kumiliki tarakilishi. Waafrika wakaanza kujifunza kucode softwares na kuanza kuprovide services za Ict. Yaani industry mpya kabisa ikazaliwa hapa Africa so ikabidi nchi nyingi za kiafrika zirebase Gdp ili kuinclude ICT sector. Amini usiamini kuna nchi za kiafrika zimekaa hata miaka ishirini au thelathini bila kurebase Gdp. So unakuta nchi hio ina ICT sector kubwa kwenye ground lakini kwenye vitabu hawajainclude hio ICT sector. Sababu kuu huwa ni kukosa pesa ya kurebase Gdp au nchi pengine bado wanapigana kwa mfano Somalia au South Sudan so hawana time ya kurebase Gdp na kuinclude sectors mpya. Sector nyingine ambayo ilikuwa weak kabla ya mwaka wa 2,000 lakini ikawa strong ni Telecommunication sector. Telecomm sector ya Africa in the 1990s ilikuwa ndogo na ilikuwa weak sana. Ilikuwa govt owned monopolies zinazotoa services ya simu ya fixed line. Matajiri tu ndio walikuwa na simu ndani ya nyumba, sisi wengine tulikuwa tunakwenda nje kwenye simu za booth zilizowekwa nje na kupiga simu. Baada ya mwaka wa 2,000 simu za mikononi yaani simu ya rununu zikaanza kutinga hapa Africa, sasa ikawa rahisi kwa mtu mmoja mmoja kununua simu, sector ya telecomms ikaanza kukua kubwa, baadaye sasa hivi imefika wakati hata watoto wa shule ya chekechea pia wana simu ya rununu wanacheza game nazo. Yaani industry ya telecomm imekuwa kubwa hadi kampuni kubwa kabisa Africa Mashariki ni telecomm company kwa jina ya Safaricom, telecomm industry imekuwa kubwa hadi imevumbua njia mpya ya kutuma pesa person to person yaani M-pesa. So industry hii ni kubwa lakini unakuta kuna baadhi ya nchi hazijarebase Gdp yao ili kupima tena ukubwa wa sector maana sector hii imekuwa kwa haraka sana na usipoipima regularly basi utafanya makosa kwenye kupima Gdp.
Example nyingine ni movie industry in Nigeria. Baada ya mwaka wa 2,000 movie industry in Nigeria ilikuwa kwa kasi hadi ikawa sector kivyake. Ikabidi iwekwe kwenye Gdp kama sector kivyake maana inaajiri tens of thousands of Nigerian actors, producers, e.t.c. So kama Nigeria wangekosa kucalculate value ya hii industry mpya ya movies basi wange-underestimate Gdp yao.
Mwisho kabisa, wacha nitoe mfano wa Tanzania na Kenya. Nchi zetu ni agricultural in nature so unakuta most of the people are farmers. Lakini serikali zetu hazicalculate accurately kiwango cha chakula kilichozalishwa. Kwa mfano unakuta serikali ya Tanzania inasema wacha nitumie mfano kwamba eti Tanzania inazalisha 4 million bags of maize lakini kumbe serikali yenu ndio haijapima vizuri maana haijaenda kila mahali kuhesabu. Unakuta kwamba kiuhalisia kwenye ground, Tanzania inazalisha 8 million bags of maize. Unaona sasa hapo serikali imehesabu tu nusu ya idadi ya mahindi mnayozalisha kwa mwaka! Sasa Gdp yenu itakuwa ndogo ilhali inastahili kuwa kubwa. Africa tunazalisha chakula kwa wingi ila serikali haihesabu accurately kiwango gani cha chakula kimezalishwa na value ya hio chakula. Africa ina industries za jua kali nyingi zinazounda jembe, wheelarrows, milango ya chuma, viti vya chuma, vitanda, meza na kadhalika ila serikali haizungumzi na hawa wamachinga au watu wa jua kali ili kujua ni idadi ngapi za bidhaa hizi zimeundwa katika mwaka fulani. Wamachinga na watu wa juakali nao pia hawataki kuzungumza na serikali maana hawataki kulipa ushuru maana wanajua wakiambia serikali "mwaka jana niliunda milango elfu moja" serikali itamuuliza na ulilipa ushuru wa pesa ngapi? Kimsingi ni kuwa Africa tunaunda bidhaa nyingi ambazo serikali zetu zinashindwa kucalculate katika Gdp aidha kwa sababu hawana pesa ya kutosha ya kufanya survey au kwa sababu wanapuuza sector ya jua kali kwamba haizalishi bidhaa nyingi lakini sector ya jua kali ndio inazalisha bidhaa nyingi hata kushinda some formal sectors. Hapa Kenya vitanda tunavyolalia karibu vyote vimeundwa na seremala wa mitaani. Hawa seremala wanaunda vitanda vingi tu ila wengi wa hawa seremala hawaambii serikali waneunda vitanda vingapi ili wasitozwe ushuru na serikali pia haitaki kujua.
 
Kitu inayofanya Nigeria kuwa superpower hapa Africa ni their big internal market. Kwa sababu ya population kubwa wameweza kuwa na big internal market. Watu karibu 200 million na wote lazima wanunue chalula kila siku, wote lazima wanunue nguo, wote lazima wanunue madawa wakiwa wagonjwa, 60% wamenunua simu (120 million). 30% wana smartphones (60 million). So Gdp tunahesabu value of goods and services produced in a year. Kama ni goods, imagine unahitaji kilo ngapi za mchele kila mwaka kulisha population ya Nigeria kila mwaka. Kwenye services, imagine Nigeria ina wafanyabiashara wangapi wanaoprovide services ya kuuza chakula? Nigeria ina vinyozi wangapi wanaoprovide services za kunyoa watu? Au wasusi wangapi wanaoprovide services za kusuka wamama nywele? So yaani kama ni value of goods or serives ambayo Nigeria inaproduce, Nigeria lazima iwe inaproduce kwa wingi kwa sababu wana watu wengi wa kupatia hio service. Wana midomo nyingi za kulisha. Wana miili nyingi za kuvisha nguo. Hii ndio maana Mhindi mmoja ni masikini lakini ukichukua nchi nzima ya watu 1 billion unakuta kwamba wana Gdp kubwa inayotoshana na ya Africa. Ilhali India ni ndogo sana geographically ukilinganisha na Africa.
The thing is they r net importer by far that market benefits the outside World! Unlike SA that produses nearly everything! I will continue to doubt Nigeria's GDP just like Kenya's!
 
Kwa mujibu wa maelezo yako haya. Je, kwa kiwango gani GDP ina aksi ukweli kwenye nchi zetu za EA
Ukitaka kijifunza zaidi kitaalam jinsi ya kucalculate Gdp unaweza kufuata hii link hapo chini
Gross Domestic Product
  • Gross domestic product (GDP) is the total value of output produced in a given time period
  • GDP includes the output of foreign owned businesses that are located in a nation following foreign direct investment. For example, the output produced at the Nissan car plant on Tyne and Wear contributes to the UK’s GDP
national_income_gdp_sectors.png
Three ways to measure GDP
There are three ways of calculating GDP - all of which in theory should sum to the same amount:
National Output = National Expenditure (Aggregate Demand) = National Income
(i) The Expenditure Method - Aggregate Demand (AD)

The full equation for GDP using this approach is
GDP = C + I + G + (X-M) where
  • C: Household spending on goods and services
  • I: Capital Investment spending
  • G: Government spending
  • X: Exports of Goods and Services
  • M: Imports of Goods and Services
The Income Method – adding together factor incomes
GDP is the sum of the incomes earned through the production of goods and services. This is:
  • Income from people in jobs and in self-employment (e.g. wages and salaries)
  • +
  • Profits of private sector businesses
  • +
  • Rent income from the ownership of land
  • =
  • Gross Domestic product (by sum of factor incomes)

 
Ngoja nikupe nondo 2019 SA got over $9 bln accounting 3% of SA GDP as tourism revenues alone! Also in the same year SA got around $14 bln as revenues for her mining activities accounting to only 2% of SA GDP! Nigeria oil revenues that account for over 90% of her GDP contributions were $45 bln ! Mind u SA has her cement, sugar n telecommunication companies all over Africa aside retailing companies! They even had Sabmiller breweries all over Africa before being sold to AnhauserBush and remains shareholder there!

Now figure out if oil accounts for 90% of Nigeria GDP and brings $45 bln and mining and tourism alone $23 bln n accounting for only 5% of industrious SA GDP, then where is the Nigeria GDP coming from?

Si kweli kusema kwamba oil accounts for 90% of Nigeria's Gdp.
Nadhani ulimaanisha kwamba oil accounts for 90% of Nigeria's export revenue.
90% percent of export revenue ni tofauti na 90% of Gdp.

Kwa mujibu wa Opec oil accounts only for 10% of Nigeria Gdp but 86% of Nigeria's export revenue.

Soma hapa.

Nigeria facts and figures​


Nigeria's Independence Day

Nigeria's Independence Day​

01 October
The most populous country within OPEC, Nigeria has around 208 million inhabitants. Located on the Gulf of Guinea on Africa’s western coast, Nigeria covers an area of around 924 thousand square kilometres. Abuja, the capital since 1991, has a population of more than one million. English is Nigeria’s official language, although many local languages such as Hausa, Yoruba, Igbo and Ijaw are also spoken.
Apart from petroleum, Nigeria’s other natural resources include natural gas, tin, iron ore, coal, limestone, niobium, lead, zinc and arable land. The oil and gas sector accounts for about 10 per cent of gross domestic product, and petroleum exports revenue represents around 86 per cent of total exports revenue. Its currency is the naira.
Nigeria’s Head of State and Commander-in-Chief of the Armed Forces is HE Muhammadu Buhari. The country joined OPEC in 1971.

Ndio hii link hapa 👇👇

 
Si kweli kusema kwamba oil accounts for 90% of Nigeria's Gdp.
Nadhani ulimaanisha kwamba oil accounts for 90% of Nigeria's export revenue.
90% percent of export revenue ni tofauti na 90% of Gdp.

Kwa mujibu wa Opec oil accounts only for 10% of Nigeria Gdp but 86% of Nigeria's export revenue.

Soma hapa.

Nigeria facts and figures​


Nigeria's Independence Day's Independence Day

Nigeria's Independence Day​

01 October
The most populous country within OPEC, Nigeria has around 208 million inhabitants. Located on the Gulf of Guinea on Africa’s western coast, Nigeria covers an area of around 924 thousand square kilometres. Abuja, the capital since 1991, has a population of more than one million. English is Nigeria’s official language, although many local languages such as Hausa, Yoruba, Igbo and Ijaw are also spoken.
Apart from petroleum, Nigeria’s other natural resources include natural gas, tin, iron ore, coal, limestone, niobium, lead, zinc and arable land. The oil and gas sector accounts for about 10 per cent of gross domestic product, and petroleum exports revenue represents around 86 per cent of total exports revenue. Its currency is the naira.
Nigeria’s Head of State and Commander-in-Chief of the Armed Forces is HE Muhammadu Buhari. The country joined OPEC in 1971.

Ndio hii link hapa 👇👇

Supposed to read over 90% of her export! The underlying fact is u will mostly like find SA products in ur local store than Nigerian products!
 
Back
Top Bottom