Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kiswahili kwanza then english.. jiran wameanza na english then kiswahili
Basi kuna mtanzania gani ambae ukoo wao lugha yao ni kiswahili
Mngelianza kw kisukuma kwanza alafu ndio mje mturingishie na hyo lugha ya kutokana na maneno ya kiarabu
 
The star kenya
🤣🤣🤣👇👇👇👇 official media from kenya

 
Unakwepa
Kubali sai ndio ujue km business daily unaipenda au huipendi
Mm nakwepa kukubali nini?? Hii sio official media from kenya au🤣🤣🤣👇👇😀😀
 
kama hamkulichukua je kekele zinatokea wapi? kwa nn mlishtakiwa icj?
We si unaishabikia somalia, sasa tueleze kwn wametushtaki na huo mpaka tuliuchukua lini

Haki ya nani acha tuone akili za bendera fuata upepo leo zinasemaje kuhusu huo mgogoro
 
Salimiaga watu kwanza! The Star Kenya imesema!
Kizungu kinawatesa sana. Tukishindwa kulipa ndio mambo hayo yatafanyika. Bado hatujashindwa kulipa. Kenya haijawahi kushindwa kulipa deni tangu ijipatie uhuru.
 
Mm nakwepa kukubali nini?? Hii sio official media from kenya au
Kubali sasa nilete habari kutoka kw hzo media...
Ukileta utaami mbona una ruka ruka km kadem kakware mr GDP bank account
 
We si unaishabikia somalia, sasa tueleze kwn wametushtaki na huo mpaka tuliuchukua lini

Haki ya nani acha tuone akili za bendera fuata upepo leo zinasemaje kuhusu huo mgogoro
Nibe sababu kwanini tushangilie wachawi wa Kikenya wanasambaza habari za kifo cha JPM!
 
pumbavu wewe!!
Mbona hasira, tueleze mbona timu yako unayoishabikia imetushtaki na huo mpka tuliunyakua mwaka gani..
Au na we ni shabiki maandazi, unafuata tu usichokijua kisa roho yako ni ya kichawi
 
Back
Top Bottom