joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Unanilaumu mm au??🤣🤣👇👇👇Ona fikra zako zilizo za kiboya, nikama umelemaa akili, chochote unachofikiria ndio basi, jibambe ba mzee, inakubalika
,
Hili daraja likiisha, na electric SGR to Dodoma likiisha na treni kuanza kufanya kazi ndio Dar itapata heshima yake hapa Afrika. Kwa sasa endeleeni kujenga. You are on the right track. Ila chungeni Dar isimezwe na maji ya bahari.Hii maneno inakaa mwaka huu itaisha! Tanzania is no doubt the EA's headquarter of quality structures! Kuna watu wanapiga njuru za viaduct ya Express highway!
CC: Tony254
Its a symbiotic relationship.Tena hapo ni mpaka wa Horohoro unaopitisha 30% ya chakula chote kinachopelekwa Kenya, bila Tanzania hakuna Kenya
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Ng'ombe ikila majani ya Highway ya mombasa!Its called Port Reitz-Moi International Airport Road
View attachment 1719076
It happensNg'ombe ikila majani ya Highway ya mombasa!
ina maana hiyo highway ipo idle!It happens
Not reallyina maana hiyo highway ipo idle!
Both projects are needed.
Treni yenu mpya kabisa na ya kisasa nayo inapiga kazi vizuri tu bila shida. Naona jua kali wali fix milango ya DMU na kuchomelea zile emergency door.Hili daraja likiisha, na electric SGR to Dodoma likiisha na treni kuanza kufanya kazi ndio Dar itapata heshima yake hapa Afrika. Kwa sasa endeleeni kujenga. You are on the right track. Ila chungeni Dar isimezwe na maji ya bahari.
la sivyo angesababisha traffic jam!Not really
Treni yenu mpya kabisa na ya kisasa nayo inapiga kazi vizuri tu bila shida. Naona jua kali wali fix milango ya DMU na kuchomelea zile emergency door.
Very shameful
I get your concern, but it is what it is.la sivyo angesababisha traffic jam!