Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Simba kupata points 3 za bure

kama hio timu ya Sudan haitaondolewa, na simba kupewa points 3, msimamo utakuwa hiv
Simba SC 9
As Vita 4
Al Ahly 4

na kama hio timu ya Sudan itaondolewa, bas msimamo utakuwa hiv
Simba SC 6
As Vita 1
Al Ahly 1
 
I don't subscribe to your 'feel good' argument na reasons uchwara , huwezi linganisha mbingu na jehanamu, ama kuchanganya maji na mafuta, Seychelles the most developed country in Africa with European standards of living utalinganisha na Zanzibar wewe., Just beach and hotels for holidays, na ni for tourists not locals
View attachment 1720180
View attachment 1720182
Beaches na hotels means nothing in reality.
Waliopiga kura ni watalii wa dunia nzima sio mm😁😁😁 wewe unanilaumu mm kama vile mm nina makosa nimekwambia nitajie kitu kimoja tu ambacho sychelles kipo na zanzibar hakuna unaanza kulia tena wewe vipi bro unakwama wapi 😆😆😆

wewe kulichokuumiza kwanini zanzibar ishinde 😄😄👇👇👇
 
Tanzanite bridge 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
A75AE2E6-DB72-4199-9915-A16A121E8227.jpeg
5B9BF213-B9DE-4892-9A0B-E7E7AAC574B5.jpeg
D9E36FDC-08C3-4CEA-9D82-366B6A235B82.jpeg
1FBFF1D2-DCB7-4D0E-83E0-B3A8BA5267A9.jpeg
3D6078DA-B10B-403E-9AAC-6CDBE0DCAC2D.jpeg
5E6DFAAF-6AD3-4F31-9630-D2E8CB411C62.jpeg
4E4AA419-3A70-4741-AA62-00B868501AC4.jpeg
 
Waliopiga kura ni watalii wa dunia nzima sio mm wewe unanilaumu mm kama vile mm nina makosa nimekwambia nitajie kitu kimoja tu ambacho sychelles kipo na zanzibar hakuna unaanza kulia tena wewe vipi bro unakwama wapi

wewe kulichokuumiza kwanini zanzibar ishinde
Ona fikra zako zilizo za kiboya, nikama umelemaa akili, chochote unachofikiria ndio basi, jibambe ba mzee, inakubalika,
 
Back
Top Bottom