Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Nice shot. In 10 years the city will have changed. However, there is to much to be done on the ground. Its still dusty and the roads are dilapidated. Hoping NMS will pick up the pace.
Waliopiga kura ni watalii wa dunia nzima sio mm😁😁😁 wewe unanilaumu mm kama vile mm nina makosa nimekwambia nitajie kitu kimoja tu ambacho sychelles kipo na zanzibar hakuna unaanza kulia tena wewe vipi bro unakwama wapi 😆😆😆I don't subscribe to your 'feel good' argument na reasons uchwara
, huwezi linganisha mbingu na jehanamu, ama kuchanganya maji na mafuta
, Seychelles the most developed country in Africa with European standards of living utalinganisha na Zanzibar wewe
., Just beach and hotels for holidays, na ni for tourists not locals
View attachment 1720180
View attachment 1720182
Beaches na hotels means nothing in reality.![]()
Part of nairobi wakat upperhill ndani, westland ndani na CBD ndani 🤣🤣🤣🤣
Hii maneno inakaa mwaka huu itaisha! Tanzania is no doubt the EA's headquarter of quality structures! Kuna watu wanapiga njuru za viaduct ya Express highway!
Ona fikra zako zilizo za kiboyaWaliopiga kura ni watalii wa dunia nzima sio mmwewe unanilaumu mm kama vile mm nina makosa nimekwambia nitajie kitu kimoja tu ambacho sychelles kipo na zanzibar hakuna unaanza kulia tena wewe vipi bro unakwama wapi
wewe kulichokuumiza kwanini zanzibar ishinde


, nikama umelemaa akili, chochote unachofikiria ndio basi, jibambe ba mzee, inakubalika


,Jiji linaonekana vizuri sana sipati picha litakapoisha kabisa
Hii ngoma inakimbizwa si mchezo.
Tena hapo ni mpaka wa Horohoro unaopitisha 30% ya chakula chote kinachopelekwa Kenya, bila Tanzania hakuna KenyaSiku 3 zimepita tani 510 duh, hawa kweli tunawalisha