Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Barabara inaitwaje?Hapo ndipo 8 lane ilipoanzia na hakuna mahali ilitoa tena wala kuingiza mpka ukakutane na interchange ya port..
Tatizo upo kiubishi sana
Barabara inaitwaje?Hapo ndipo 8 lane ilipoanzia na hakuna mahali ilitoa tena wala kuingiza mpka ukakutane na interchange ya port..
Tatizo upo kiubishi sana
Naomba uwe na habari kua mwanza panajengwa daraja kubwa la kihistoria kwa africa mashariki na kati 3.2km na litakua na 6lanes
Naomba uwe na habari kua mwanza panajengwa daraja kubwa la kihistoria kwa africa mashariki na kati 3.2km na litakua na 6lanes
Where do you get that name "God"....God and religion are two different things...
Kaone hakaI have so much for mombasa it would take a considerable time to post, but I agree the president shifted focus to coastal region and Northern frontier








What's up mate, are you disputing or?Kaone haka![]()
More equipment for JNHPP
ichoboy01 na The best 007 sisi Wakenya tujajuaje kwamba hapo ni Arusha? Au tuwaamini tu bila evidence? Hapo panaweza kuwa Kinshasa Congo, au Abuja Nigeria. Leteni evidence, hatuwaamini ovyo ovyo tu. Mkifaulu kuprove kwamba ni Arusha basi kongole.
Ss hiyo si ni kazi yako jombaa kuutafuta ukweli.ichoboy01 na The best 007 sisi Wakenya tujajuaje kwamba hapo ni Arusha? Au tuwaamini tu bila evidence? Hapo panaweza kuwa Kinshasa Congo, au Abuja Nigeria. Leteni evidence, hatuwaamini ovyo ovyo tu. Mkifaulu kuprove kwamba ni Arusha basi kongole.
umejuaje?Hivi vifaa ni vya kujengea Barabara kutoka Rufiji mpaka Mtwara na pia vitajenga uwanja wa mpira Dom
Hio barabara kama ni ya Arusha basi ni 8 lanes. Maana ni sahihi kuhesabu ya kuingia na kutoa kwa kimombo tunaziita "service lanes." Lakini kama Arusha ina 8 lanes mbona mji wa pili kwa ukubwa inayoitwa Mwanza hauna 8 lanes? Hii Mwanza inapitwa hata na Arusha kwenye barabara nzuri.So kwanzia leo arusha ina 8lanes 😂😂
anaishi ikulu ndogo Dodoma iliyokuwapo tangu kipindi cha Nyerere!Kwani Ikulu ya Dodoma haijakamilika? Ni jengo nzuri sana ila nilidhani Magufuli tayari anaishi Dodoma, kwani anaishi kwenye jengo gani huko Dodoma?
Huu mradi ndio unaoitwa Dongo kundu bypass? Kama ni hio, cost ya mradi ni pesa ngapi?They are constructing in Lots, see for instance :
Phase 1: Miritini junction to Mwache junction + Kipevu Link Road (10.1 km) 4 lanes
2. Phase 2: Mwache junction to Mteza (including Mteza bridge) 8.96 km 4 lanes
a. Mwache bridge (660m)
b. Mteza bridge (1,440m)
c. Tsunza viaduct (690m)
3. Phase 3: Mteza (excluding Mteza bridge to Kibundani junction (6.86 km) 4 lanes
a. Right turn viaduct.
Huyo ni Mkenya muungwana kutoka Mombasa. Si unaona anawapongeza pale ambapo mnastahili kupongezwa. Mpeleke polepole.Kaone haka![]()
Miradi ya meli ferris daraja Mwanza Ina supplements vyote hivyoTuonyeshe picha kama hii Mwanza. Huwa mumekosa adabu kulinganisha Mombasa na Mwanza. Mombasa ina interchanges, ina underpasses, ina over-passes, ina biggest port in EA. Ina one of the biggest airports in EA. Second biggest city yenu Mwanza sidhani kama ina miradi za barabara kama hii.
Asante kwa kutuletea picha za Mombasa. These guys keep on saying that Nairobi is the only developed city in Kenya. They need to know that Mombasa is not sleeping.Its called Port Reitz-Moi International Airport Road
View attachment 1719071View attachment 1719074View attachment 1719075View attachment 1719076