Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkenya akija bei hupanda
Kumbe wanatukubali kimya kimya, hapana chezea wafanyibiashara wa kikenya aisee..
Akiamua kumwaga hela ana mwaga ilimradi anajua atarudisha
Sasa hiyo ni principle ya demand and supply . When demand is high , obviously price inakua kubwa and vice versa. Hakuna exception kua mteja lazima awe mkenya hata WFP wakija nunua price inakua kubwa
 
Kwa hayo tu machache niliyotaja ambayo tuliyfanya ndani ya miaka mitano iliyopita,naomba Kenyans Yosef Festo komora096 Tony254 na wengineo mtuonyeshe na nyie mliyofanya at least kutukaribia (Mana sio kutufikia) ndani ya miaka mitano iliyopita ambayo yanawapa ujasiri wa kujiona ninyi ni EA's giant ,tukizingatia ninyi ndio mlikua na bajeti kubwa mara mbili ya bajeti yetu .. The best 007 Geza Ulole ichoboy01 naomba wakileta majibu mnitag ..
 
Aawapii kinachojengwa si kilicho kwenye picha! huihitaji rocket science kung'amua!
Unataka kuniambia huu mferehi utakuwa ile underpass kwenye picha?
2708190_y3AflxZh.jpg

mkuu tumeambiwa mombasa inakuja polepole
 
Aawapii kinachojengwa si kilicho kwenye picha! huihitaji rocket science kung'amua!
Unataka kuniambia huu mferehi utakuwa ile underpass kwenye picha?
2708190_y3AflxZh.jpg
Tuonyeshe picha kama hii Mwanza. Huwa mumekosa adabu kulinganisha Mombasa na Mwanza. Mombasa ina interchanges, ina underpasses, ina over-passes, ina biggest port in EA. Ina one of the biggest airports in EA. Second biggest city yenu Mwanza sidhani kama ina miradi za barabara kama hii.
 
Hio video ya pili iko poa sana. Sikujua Mombasa ni construction site. komora096 kumbe huko Mombasa kunajengwa hivi na umenyamaza tu huku. Sina habari kwamba mambo mazito yanaendelea huko.
Mkuu sio ki hvo hili jambo la barabara kufumuliwa nikutokea 2019 dec, safari zangu nyingi za mariakani tulikua tunakula vumbi sana kw sababu ya ile mitinga inavyochimba chimba barabara..

Tatizo nlikua sijui km kunajengwa nini mazee kule mzee baba, ile hali basi watu walilalmika sana kw sababu walikua wamevuruga mambo..

Nilikuja kuelewa wakati uhuru na joho walikuja kuzindua mradi walai, lkn km ni kazi ilianza kitambo sana.
Alafu pia mimi sio mtu wa kuvurugana sana na sites za KENHA huaga nikitoka jf natulia na kufanya mambo yangu na watu wangu tu..
Si unajua tena kuna maisha nje ya jf ila kuna wengine maisha ya jf ndio bado wanayapeleka mitaani
 
Hio video ya pili iko poa sana. Sikujua Mombasa ni construction site. komora096 kumbe huko Mombasa kunajengwa hivi na umenyamaza tu huku. Sina habari kwamba mambo mazito yanaendelea huko.
Lkn humu nlikua nagusiagusia kuhusu huo ujenzi ila kw makini sana manake nilikua sina data kamili, mambo mengine hayahitaji haraka.
 
Back
Top Bottom