komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Sio cha demand wala nn, hapo linaongelewa swala la wakenya..Sasa hiyo ni principle ya demand and supply . When demand is high , obviously price inakua kubwa and vice versa. Hakuna exception kua mteja lazima awe mkenya hata WFP wakija nunua price inakua kubwa
Tatizo akili zako zimeganda, sasa hapo kipi kigeni kwetuKwa hayo tu machache niliyotaja ambayo tuliyfanya ndani ya miaka mitano iliyopita,naomba Kenyans Yosef Festo komora096 Tony254 na wengineo mtuonyeshe na nyie mliyofanya at least kutukaribia (Mana sio kutufikia) ndani ya miaka mitano iliyopita ambayo yanawapa ujasiri wa kujiona ninyi ni EA's giant ,tukizingatia ninyi ndio mlikua na bajeti kubwa mara mbili ya bajeti yetu .. The best 007 Geza Ulole ichoboy01 naomba wakileta majibu mnitag ..
Itakuwa kwenye ile meli ya Mv Victoria km sikoseiKuna sehemu kuna mpishi a.k.a chef mkenya anajionaga kama nini sijui . Hadi nikimsikilizaga nacheka. Yaani hadi mpishi anijiona expert kama profesa gani sijui . Wakenya wana mbwembwe sana







Tatizo tangia tuanze huu mjadala sijaona shule wala hospitali za watu wa chini wa dar km vile inavyofanya kenya..Hata sisi pia tunajengea watu wa chini mahospitali, sio nyinyi tu mnaoweza kufanya hivi. Afrika Mashariki inazidi kusonga mbele.
Onesha miradi kama hii mombasa inayomgusa masikini moja kwa moja 👇👇Tuonyeshe picha kama hii Mwanza. Huwa mumekosa adabu kulinganisha Mombasa na Mwanza. Mombasa ina interchanges, ina underpasses, ina over-passes, ina biggest port in EA. Ina one of the biggest airports in EA. Second biggest city yenu Mwanza sidhani kama ina miradi za barabara kama hii.
Tukiwaambia Tz is a construction site hawatakiKwa hayo tu machache niliyotaja ambayo tuliyfanya ndani ya miaka mitano iliyopita,naomba Kenyans Yosef Festo komora096 Tony254 na wengineo mtuonyeshe na nyie mliyofanya at least kutukaribia (Mana sio kutufikia) ndani ya miaka mitano iliyopita ambayo yanawapa ujasiri wa kujiona ninyi ni EA's giant ,tukizingatia ninyi ndio mlikua na bajeti kubwa mara mbili ya bajeti yetu .. The best 007 Geza Ulole ichoboy01 naomba wakileta majibu mnitag ..









Kubwa jinga hilo.Kumbe wewe ni fala eeh yaan unapongezwa ndo unazidi kuleta maneno ya shombo sio
Passenger terminal ya airport inamgusa vipi maskini wa chini alafu barabara isimguseOnesha miradi kama hii mombasa inayomgusa masikini moja kwa moja
New modern market city center
Modern bus terminal nyamongoro
New bus terminal nyegezi
Mwanza new passenger terminal airport
Kumbuka mwanza haina shida ya maji kwa asilimia zaidi ya 90 wakat mombasa ina shida ya maji kila kona kama nadanganya prove me wrong 🤣🤣🤣🤣Tuonyeshe picha kama hii Mwanza. Huwa mumekosa adabu kulinganisha Mombasa na Mwanza. Mombasa ina interchanges, ina underpasses, ina over-passes, ina biggest port in EA. Ina one of the biggest airports in EA. Second biggest city yenu Mwanza sidhani kama ina miradi za barabara kama hii.
Wamejengewa terminal building kwa ajili ya kuuza samaki na biashara za aina zote kama modern market pale pale airport 😀👇👇 fungua hii videoPassenger terminal ya airport inamgusa vipi maskini wa chini alafu barabara isimguse
Kumbe hata arusha ipo 🤣🤣🤣🤣 kumbe ndio hvo munahesabu lanes😅😅😅
Wapi daraja kama la Mwanza au wapi gold refinery Mombasa? BTW unajua daraja la Mwanza litakuwa na interchange kama Nyerere bridge na gharama yake inajenga hiyo highway yote!mkuu tumeambiwa mombasa inakuja polepole
Tafuta modern hospital and biggest hospital like this in mombasa ukipata nitag🤣🤣🤣👇👇👇👇Tuonyeshe picha kama hii Mwanza. Huwa mumekosa adabu kulinganisha Mombasa na Mwanza. Mombasa ina interchanges, ina underpasses, ina over-passes, ina biggest port in EA. Ina one of the biggest airports in EA. Second biggest city yenu Mwanza sidhani kama ina miradi za barabara kama hii.
So, if you don't believe in religion how did you know the existence of God?Wapi nilijiita mkatoliki, unachizi kakaI don't believe in religion idiot., man-made ideologies in the name of God ndio janga kubwa hapa duniani, jua hilo.,
Naomba uwe na habari kua mwanza panajengwa daraja kubwa la kihistoria kwa africa mashariki na kati 3.2km na litakua na 6lanesTuonyeshe picha kama hii Mwanza. Huwa mumekosa adabu kulinganisha Mombasa na Mwanza. Mombasa ina interchanges, ina underpasses, ina over-passes, ina biggest port in EA. Ina one of the biggest airports in EA. Second biggest city yenu Mwanza sidhani kama ina miradi za barabara kama hii.
Wewe usiichukulie mwanza kama ile mwanza mulioiozea ya 90s 😆😆😆 nenda na wakati muda utakuacha bro mambo yamebadilikika mwanza karibia mitaa yote around the city center ni lami na ina mitaa ya kisasa ambayo mombasa utaisikia kwenye radioTuonyeshe picha kama hii Mwanza. Huwa mumekosa adabu kulinganisha Mombasa na Mwanza. Mombasa ina interchanges, ina underpasses, ina over-passes, ina biggest port in EA. Ina one of the biggest airports in EA. Second biggest city yenu Mwanza sidhani kama ina miradi za barabara kama hii.
Kwani kitu kama airport kumgusa mwananchi wa chini mpaka huyo mwananchi lazima akauze maandazi na ubuyo hapo airport? Hayo mapato yanayopatikana hapo yakipelekwa kwenye sector nyingine kama afya, barabar, kilimo n.k hayamgusi mwananchi wa chini? USIKARIRI MAISHA BIBI!Passenger terminal ya airport inamgusa vipi maskini wa chini alafu barabara isimguse