Hakuna uwezekano wowote wa nyinyi kujenga hyo interchange na msiote kabisa hata km mnajenga ila haiwezi hata kufanana na hiyo cz tunawajua kelele nyingi hamna kitu,hivi nyie mjenge interchange ya hivyo alafu msipost progress humu? Mmejenga ka expressway tu 27km kwa msaada wa jamuhuri ya watu wa China mkapiga kelele dunia nzima ikasikia.
Hamtajenga interchange km hiyo au hata km ya Ubungo, na ndiyo maana mnaona aibu kupost progress humu [emoji3][emoji3][emoji3]
Yani mkenya ajenge kitu watu wasijue, uliwahi kusikia wapi iyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]