The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Huo mto siujui ila msimbazi uko hivi nowadays














Huo mto siujui ila msimbazi uko hivi nowadays














Hata hujielewi. Mara hapo si Dar mara ooooh, mara ooooh. You are confused





Yah hivyo vimeruhusiwa nchi nzima hakuna shida, ni km nyinyi mlivyoruhusu vipanya kuingia CBD na chokoraa kulala ndani ya CBD










Nimekuambia hivi huo mto siujui.
Sema omba omba kutoka TanzaniaYah hivyo vimeruhusiwa nchi nzima hakuna shida, ni km nyinyi mlivyoruhusu vipanya kuingia CBD na chokoraa kulala ndani ya CBD![]()



Yah kama ombaomba wametoka Tz kuja kwenu ni sawa cz haturusu ombaomba nchini kwetu na ndiyo maana wameona waende nchi wanayofanana nayoSema omba omba kutoka Tanzania![]()
















Hiyo barabara iko kwny mradi wa BRT Phase 2 status U/C kwa taarifa yako ina lami kinachofanyika kwa sasa ni kuimaintain tu magari yapite soon nakwambia teargass utalala mbele maana phase 3 na 4 zitamaliza maneno yote pale katikati ya mji kinacholeta raha zaidi phase 5 mfaransa kaonyesha nia kubwa kbs ya kutaka kuwekeza kwny kipande hicho inayobaki ni phase 6 tu kwishney!! ambayo inaweza kujengwa na hizi zilizotangulia,Usishangae tukaenda kwny monorail nakufanya extension ndogo ndogo tu kwny BRT. Pole sana my friend.90% of Tanzanian roads are unmarked. Kwanza hii inaonekana hata haijapigwa lami.
News ya 2017? You are outdated like your motherYah kama ombaomba wametoka Tz kuja kwenu ni sawa cz haturusu ombaomba nchini kwetu na ndiyo maana wameona waende nchi wanayofanana nayoView attachment 1714033View attachment 1714038


Hehehehee kaumia anaanza matusi, hahahahaaa lete mpya ss km hyo ya 2017News ya 2017? You are outdated like your mother![]()














Hakuna mpya.Hehehehee kaumia anaanza matusi, hahahahaaa lete mpya ss km hyo ya 2017![]()
Unaifananisha uchafu wa concrete na kioo like structure, haya majengo design yake hakuna mfano wake Africa mashariki nzima














The talk of the town, MZIZIMA towers loading.....





Ebu angalia venye chini ya TPA ni chafuUnaifananisha uchafu wa concrete na kioo like structure, haya majengo design yake hakuna mfano wake Africa mashariki nzimaView attachment 1714055View attachment 1714058View attachment 1714059



. Alafu Britam is not concrete.



