Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unakana nchi yakoDar is slumView attachment 1714019
Huo mto siujui ila msimbazi uko hivi nowadays
JamiiForums1914334887.jpg
 
90% of Tanzanian roads are unmarked. Kwanza hii inaonekana hata haijapigwa lami.
Hiyo barabara iko kwny mradi wa BRT Phase 2 status U/C kwa taarifa yako ina lami kinachofanyika kwa sasa ni kuimaintain tu magari yapite soon nakwambia teargass utalala mbele maana phase 3 na 4 zitamaliza maneno yote pale katikati ya mji kinacholeta raha zaidi phase 5 mfaransa kaonyesha nia kubwa kbs ya kutaka kuwekeza kwny kipande hicho inayobaki ni phase 6 tu kwishney!! ambayo inaweza kujengwa na hizi zilizotangulia,Usishangae tukaenda kwny monorail nakufanya extension ndogo ndogo tu kwny BRT. Pole sana my friend.
dart.jpg
 
Back
Top Bottom