Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza mfereji ndio nini?
Sisi hatuna mfereji tuna tap water mpaka chooni
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Dar is slum hii moja? sasa we will stick to English., Kiswahili iko na wenyewe, lugha ya kizembezembe, vile Mombasa na Dar walivyo, tafadhali, naomba, shikamoo, etc., ya adabu pia..,(Tz yote btw, slow and laid back)
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Dar is slum hii moja? sasa we will stick to English., Kiswahili iko na wenyewe, lugha ya kizembezembe, vile Mombasa na Dar walivyo, tafadhali, naomba, shikamoo, etc., ya adabu pia..,(Tz yote btw, slow and laid back)
Pumbavu wewe kiswahili fasaha ni bomba la maji, mfereji/mtaro ni open water channel kunyesha mashamba au roads side channels
 
Mfereji ni water flowing through gradient in an open artificial source like in an irrigation water system! Or water supply canals in towns/cities during medival era!

This is mifereji!
Irrigation-canal-farm-field.jpg


Wakenya wa bara kiswahili chetu ni kibovu. Huku huwa tunaita bomba kwamba ni mfereji.
 
Nilikuambua get in the bus or KQ nenda kajionee., kwao ni kawaida sana, inakaa villagish hivi., Kenya nyumba nyingi ziko na taps za maji ndani, ama kwa compound incase not all houses, shida ni flow ya maji, not mifereji, maji inapotea in some places na kwingine inakuja like thrice a week, sio eti tap haziko. Hakuna flat haina mfereji ndani ya nyumba, shida ni flow., but NMS wametoa cartels who have been blocking water ndio wapate fursa ya kuuza., extreme slums kama kibera ndio wanaishi sana sana hii maisha ya Dar ya foleni kwa taps., jeshi amefanya kazi sana, kwanza dealing with cartels!.,
wacha kumpotosha mwenzako kwa kujifirahisha binafsi dar hakuna kupanga m\foleni ya madumu ya maji hayo maisha tulishatoka huko.....

kwenye swala la upatikanaji wa maji usilinganishe dar na nairobi hata siku moja...unajifurahisha kizembe mzee
 
wacha kumpotosha mwenzako kwa kujifirahisha binafsi dar hakuna kupanga m\foleni ya madumu ya maji hayo maisha tulishatoka huko.....

kwenye swala la upatikanaji wa maji usilinganishe dar na nairobi hata siku moja...unajifurahisha kizembe mzee
Mwenzake ni takataka kama yeye kwa hiyo anakubali tu kupotoshwa kumbe lengo la mwenzake kupotosha ni ili ajifariji
 
Pumbavu wewe kiswahili fasaha ni bomba la maji, mfereji/mtaro ni open water channel kunyesha mashamba au roads side channels
Wewe unajua kiswahili ni kigumu kwa Wakenya. Bakini na kiswahili chenu sisi wacha tujikite kwenye Kizungu.
 
Exactly what Kenyan water companies does., then unalipa to connect into your house. Shida ni flow ya maji, not connectivity.
hakuna cha flow ya maji wala nini wacha kujipotosha pia wacha kujipa maneno ya kizembe yanayodhihirisha ukapuku wako,,,,

flow ya maji imefanya nini,kwanini iwe flow ya maji miaka yote hiyo....?...

na kinachonifurahisha wakenya huwa mkinya hamtawazi huwa mnatumia paper of magazine hiyo yote sababu ya ukossfu wa maji...
 
Mwenzake ni takataka kama yeye kwa hiyo anakubali tu kupotoshwa kumbe lengo la mwenzake kupotosha ni ili ajifariji
iko hivyo nimecheka sana,,,huyo jamaa aliwahi kuumbuka huwa anaropokaga tu,,aliwahi sema kuwa kenya ina engeneers wengi kuliko tz akapigwa za uso akapotea .....
ni kilaza
 
Nyie waKei wachawi sana. Mmemloga Magu wetu analivunja jiji la Dar...

Kuanzia sasa huu uzi itabidi iwe Nairobi Vs Ilala....
ni noma dar itabaki kuwa dar ila alichofanya ni anataka kupunguza idadi ya madiwani maana wengi wapo tu hawana tija wanakula tu posho za bure anataka watu wachache ili pesa zilizokuwa zikipotea kwa madiwani ziingie kwenye miradi
 
iko hivyo nimecheka sana,,,huyo jamaa aliwahi kuumbuka huwa anaropokaga tu,,aliwahi sema kuwa kenya ina engeneers wengi kuliko tz akapigwa za uso akapotea .....
ni kilaza
99.99% ya anachokiandika humu ni pumba
 
Pumbavu wewe kiswahili fasaha ni bomba la maji, mfereji/mtaro ni open water channel kunyesha mashamba au roads side channels
I dont understand Kiswahili fully, but I know my points have been perfectly driven home even though... na mpumbavu ni wewe mwenyewe. Kumbe hauna copy.,
hakuna cha flow ya maji wala nini wacha kujipotosha pia wacha kujipa maneno ya kizembe yanayodhihirisha ukapuku wako,,,,

flow ya maji imefanya nini,kwanini iwe flow ya maji miaka yote hiyo....?...

na kinachonifurahisha wakenya huwa mkinya hamtawazi huwa mnatumia paper of magazine hiyo yote sababu ya ukossfu wa maji...
myopic reasoning hapa. Zaidi ya pua nothing. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ **Dar mashambani.,
 
I dont understand Kiswahili fully, but I know my points have been perfectly driven home even though... na mpumbavu ni wewe mwenyewe. Kumbe hauna copy.,

myopic reasoning hapa. Zaidi ya pua nothing. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ **Dar mashambani.,
Kajiue

 
Back
Top Bottom