Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

TP Mazembe imeisha uwezo, check anavyoshambuliwa
IMG_1614176629.646374.jpg
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Dar is slum hii moja? sasa we will stick to English., Kiswahili iko na wenyewe, lugha ya kizembezembe, vile Mombasa na Dar walivyo, tafadhali, naomba, shikamoo, etc., ya adabu pia..,(Tz yote btw, slow and laid back)
Very true....very very slow... no wonder these guys are behind....
 
Shebby01 The best 007 Naton Jr
Geza Ulole
Sasa nadhani ichoboy01 amewapa darasa kuhusu jinsi mji unavyostahili kupangwa.
Sumbawanga ndio best mji wa TZ in terms of city planning. Sikujua Tanzania mna city ambayo iko well planned namna hii. Inapendeza macho ukiitazama kutoka juu.
View attachment 1710615View attachment 1710616
Sio huu uharo wa Dar es Salaam
View attachment 1710624View attachment 1710628
Kwan mji gani kenya umepangika nitajie mji mmoja tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
hakuna cha flow ya maji wala nini wacha kujipotosha pia wacha kujipa maneno ya kizembe yanayodhihirisha ukapuku wako,,,,

flow ya maji imefanya nini,kwanini iwe flow ya maji miaka yote hiyo....?...

na kinachonifurahisha wakenya huwa mkinya hamtawazi huwa mnatumia paper of magazine hiyo yote sababu ya ukossfu wa maji...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hivyo wazungu wanatumia tissue kwa sababu ya ukosefu wa maji? Ona huyu wazimu.
 
Kwa hivyo wazungu wanatumia tissue kwa sababu ya ukosefu wa maji? Ona huyu wazimu.
we ni mzubngu...?..

unauhakika gani kuwa hawajiwash....?..

nyie endeleeni kuchambia tu nyasi za mbuzi na magazine paper,,ndiyo maana huwa mnanuka sana
 
Back
Top Bottom