Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sure mkuu yn km Magu hafai basi kutakuwa na sababu ya kuamini katika shetani [emoji48]
Ukitazama idadi ya viwanda vipya vinavyojengwa haupati shida kujua tutakuwa wapi in 5-10 yrs. Miundombinu ndiyo hakuna hata haja ya kuiongelea.

Leo nilikuwa naangalia miradi ya ujenzi bandari za Tanga, Mtwara, na ziwa Nyasa. It's spectacular, we are going to kill people with this president.
 
1613822365620.png

DAR
 
hawa jamaa wako vizur nimewapenda.. nitajitahid viatu vyangu vyote vipya vijavyo niwatafute hawa jamaa kwanza
IMG_1613822634.700307.jpg

IMG_1613822647.704680.jpg


page yao twitter

page yao insta
IMG_1613822779.152555.jpg

kuna mtu alikuwa anaulizia namba zao, you can them [emoji1318]
 
Yaani dar mna ghorofa tatu amabazo huwa mna zipiga picha kila upande.. halafu na kale ka ubungo bridge washamba wa tz huenda kupigia picha ahpo na ku propose wakiwa hapo juu ya ubungo...ilipokuwa inaundwa mlitutishia saana kumbe ni ka daraja ka kijinga tu....enyewe maskini akipata matako hulia mbwata. OYAA tazama viveo hizo halafu ujionee jinsi nairobi ipo juuu, na dar ni takataka mbele ya nai
kwa taarifa yako hii battle imeanzishwa 2019 bado hujamaliza chuo. kitu cha maana dar ilikuwa nacho ni BRT tu.

flyover hazikuwepo.
airport haikuwepo terminal III.
masoko hayakuwepo ya maana.
tulikuwa ldc bado.
hakukuwa na ndege hata moja.
hizo tower 5 ambazo unaona ni tatu, zilikuwa tatu.

endelea kufukia kichwa mchangani kama utapta nafuu, wenzako wanaleft chart maana mambo ni mazito.


Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom