Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tazameni ukuta wa kuzuia mmomonyoko wa Udongo. Hii ni western Bypass Nairobi ambayo itakamilika mwaka ujao. Yaani ukuta mzito na mkubwa kama huu hata Thika road haina. Obviously Tanzania pia hamjawahi kuona kitu kama hiki.
1611473827370.png



Ukuta wa aina yake huu
1611473987611.png


Barabara yenyewe itakuwa pana
1611473150011.png


Kwenye sophistication ya barabara hamtuwezi. Leteni battle kwenye mambo mengine lakini sio kwenye sophistication ya barabara
 
Wasanii wa nchi hizi mbili wanapendana. Tatizo linakujia kwenye uhasama kati ya viongozi wa nchi hizi mbili.
JPM hataki urafiki na viongozi wakabila, wezi, walevi na wavivu! sioni hawa wawili wakiendana hata punje! usilazimishe mambo mbali na diplomatic rapport hawawezi kuwa marafiki!
 

Your insanity is unbelievable! Just because a city is by the sea/ocean, it doesn’t necessarily mean that it has to appear like that. A classic example is Los Angeles. LA is next to the Pacific Ocean but no area by the ocean has that type of waterfront. You are forcing cities to look the same, which is really stupid.
Ever heard of Long beach or you think California has one CBD like your typical cities, You must be naive
images (17).jpeg
images (16).jpeg
. Name any reputed coastal city and I'll show you that. Your government has failed to properly utilise its location. Period
 
Tazameni ukuta wa kuzuia mmomonyoko wa Udongo. Hii ni western Bypass Nairobi ambayo itakamilika mwaka ujao. Yaani ukuta mzito na mkubwa kama huu hata Thika road haina. Obviously Tanzania pia hamjawahi kuona kitu kama hiki.
View attachment 1684959


Ukuta wa aina yake huu
View attachment 1684961

Barabara yenyewe itakuwa pana
View attachment 1684963

Kwenye sophistication ya barabara hamtuwezi. Leteni battle kwenye mambo mengine lakini sio kwenye sophistication ya barabara
pale Obama road kuna ukuta wa kuzuia mmong'onyoko wa ardhi unaotokana na mawimbi pia! ukienda JNHPP utakutana na structure hujawahi ona maishani mwako! Hako ka-bareer protection kasikupumbaze!
 
Tazameni ukuta wa kuzuia mmomonyoko wa Udongo. Hii ni western Bypass Nairobi ambayo itakamilika mwaka ujao. Yaani ukuta mzito na mkubwa kama huu hata Thika road haina. Obviously Tanzania pia hamjawahi kuona kitu kama hiki.
View attachment 1684959


Ukuta wa aina yake huu
View attachment 1684961

Barabara yenyewe itakuwa pana
View attachment 1684963

Kwenye sophistication ya barabara hamtuwezi. Leteni battle kwenye mambo mengine lakini sio kwenye sophistication ya barabara
Yaani ukuta tu? We kichaa wa wapi? Na sisi tukisema Kenya haijawahi kuwa na ukuta mrefu kama wa Mererani tutakua tumekosea?
 
Ever heard of Long beach or you think California has one CBD like your typical cities, You must be naiveView attachment 1684951View attachment 1684952. Name any reputed coastal city and I'll show you that. Your government has failed to properly utilise its location. Period
I know California more than you ever will. Long Beach and Los Angeles are two different cities! 😂😂😂😂😂 unlike LA, Long Beach has a beautifully designed waterfront. However, that doesn’t make LA less of a city than Long Beach!

Los Angeles
57B1041C-15C9-4099-8096-9FFD17A7E250.jpeg
 
I know California more than you ever will. Long Beach and Los Angeles are two different cities! 😂😂😂😂😂 unlike LA, Long Beach has a beautifully designed waterfront. However, that doesn’t make LA less of a city than Long Beach!

The Los Angeles coastline
View attachment 1685019
You are comparing apples to oranges, shortest distance from LA cbd to the beach is 26min, so LA city is more inland than coastal, Therefore not a good example. Name a reputable city just besides the shore which doesn't have the beach front.
 
Back
Top Bottom