Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haujui ndio wana amka, vitu vya zamani ndio kwa sasa ni ya ajabu kwao., hapo kwa viatu tulipita zamani sana [emoji23][emoji1787][emoji23], Kuna siku pia mtu kapost modern trucks za kuzoa takataka in towns and cities, Kama zile za kanjo kwa kushangilia, things we had from 90s, vitu za kitambo sana anasema Kenya havipo amefurahi kishenzi, nilijua Tz ndio wametoka porini juzi wanashangaa shangaa na mambo, flyovers zinawapa orgasm, hadi Diamond Platinumz mwenyewe kwa interview moja amebambika na flyover ya kwanza Tz[emoji1787][emoji23][emoji1787]., outside Dar hakuna any ya maana sana., Si umejionea Mwanza mwenyewe, hapo ata mtu alete Kiswahili haikomboi Mwanza[emoji1787][emoji23][emoji23], Dar pia watch drone views zote kwa youtube, no comparison with Nairobi at all!!, lakini wakiweka picha on carefully selected angles na zimelishwa filter they can only fool wenye hawajafika Dar., can't compare to Nairobi [emoji1787][emoji23][emoji23]
Mwanza bado inakuumiza kichwa uhehehhe kwasababu umebanwa kwenye kiswali kidogo sana 😂😂😂😂😂 mm nilikwambia na nitakwambia kale ka wimbo ka tz of 90s kameisha sasa kila mmoja anaheshima yake mkononi au nasema urongoooo
Umelala na mwanza umeamka na mwanza 😂😂😂😂😂
Asante kwa kuandika gazeti
 
Watanzania kwanzia leo hii sio mwanza tena na sasa inaitwa mama ngina city ipo kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wakenya wote hoyeeeeeee
Aliskika kiazi mmoja akisema mombasa hakuna one way street😆😆😆
 
Watu watatu wanahangaika na ichoboy ukiwabana kwenye ukweli wanaanza kuleta hasira [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwan kujibu hili pia ni kazi au[emoji116][emoji116][emoji116]
Video ya Mombasa nilikupa, wenzako wenye wali watch yote wamekimya wanakutazama tu ukilia lia humu kwa kupiga hewa mangumi[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23],wengine walikiri zamani wewe endelea kulia, tumefurahi hadi raha, Kiswahili kitukuzwe kweli, hiyo ndio umebaki nayo mdomoni[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23] pingana na mwenzako[emoji1787][emoji23][emoji23]
Screenshot_20210210-214455.jpg
 
Nyinyi huwa mkipigwa maeneo mengine huwa mnarudi kwa hili jambo moja tu kwamba Kenya hatujitoshelezi kichakula. Nchi ambayo 100% ya ardhi yake inapokea mvua inaicheka nchi ambayo 25% ya ardhi yake inapokea mvua japo ina uchumi mkubwa kushinda hii ambayo inapokea mvua 100% maeneo yote.
Arable land inamilikiwa na politician pamoja na white foreigners kazi yao kupanda maua kupeleka kwao abroad alaf wanabakiza wakenya na njaa alaf unasingizia ardhi😀😀 hakuna mjinga humu
 
Video ya Mombasa nilikupa, wenzako wenye wali watch yote wamekimya wanakutazama tu ukilia lia humu kwa kupiga hewa mangumi
emoji1787.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
,wengine walikiri zamani wewe endelea kulia, tumefurahi hadi raha, Kiswahili kitukuzwe kweli, hiyo ndio umebaki nayo mdomoni
emoji23.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji23.png
pingana na mwenzako
emoji1787.png
emoji23.png
emoji23.png

View attachment 1706943
Hayo ni maoni yake lakini jibu langu mm hujalileta na hutapata mpaka yesu ashuke
Simple and clear👇👇👇👇👇🤣🤣
Mm nimekwambia siku utaniletea street kama hzi mombasa unitag nifunge acc mbona ni simple and clear 🤣🤣🤣 nashangaa unaandika maneno mengi ushahidi huna, tunataka evidence sio maneno na porojo
 
Yosef Festo hata utafute quote ya joho au mama ngina hili swali nakwambia hutalijibu mpaka yesu ashuke alaf endeleeni kuita city 🤣🤣🤣 tutafunzana taratibu tu
Mm nimekwambia siku utaniletea street kama hzi mombasa unitag nifunge acc mbona ni simple and clear 🤣🤣🤣 nashangaa unaandika maneno mengi ushahidi huna, tunataka evidence sio maneno na porojo
 
Mwanza bado inakuumiza kichwa uhehehhe kwasababu umebanwa kwenye kiswali kidogo sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm nilikwambia na nitakwambia kale ka wimbo ka tz of 90s kameisha sasa kila mmoja anaheshima yake mkononi au nasema urongoooo
Umelala na mwanza umeamka na mwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante kwa kuandika gazeti
Kwani hiyo Mwanza umeweka ni ya 90s[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23] hadi raha[emoji1787][emoji23][emoji23] hiyo ni ya 2021 kumbe[emoji23][emoji1787][emoji23] ya 90s ilikua inafanana aje kama hizi clips zako ni latest?[emoji15][emoji15][emoji15].,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], bro Leo unaniamsha na raha tupu[emoji23][emoji23][emoji23].,
 
Yosef Festo hata utafute quote ya joho au mama ngina hili swali nakwambia hutalijibu mpaka yesu ashuke alaf endeleeni kuita city [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tutafunzana taratibu tu
Clip moja ya Mombasa ilifunika zako zote kwa mpigo., domo domo ya nini dogo., wacha clips zijitetee zenyewe, sisi tunachambua zako hizo.,[emoji23][emoji23][emoji23], tumejionea, wacha kiswahili mingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maneno yako hayasaidii, video umeweka, haitoshi mboga unalialia wewe ni kipofu?[emoji23][emoji23][emoji23] nikitaja Mwanza unakerwa sana hadi raha[emoji23][emoji23][emoji23].,
 
Clip moja ya Mombasa ilifunika zako zote kwa mpigo., domo domo ya nini dogo., wacha clips zijitetee zenyewe, sisi tunachambua zako hizo.,[emoji23][emoji23][emoji23], tumejionea, wacha kiswahili mingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maneno yako hayasaidii, video umeweka, haitoshi mboga unalialia wewe ni kipofu?[emoji23][emoji23][emoji23] nikitaja Mwanza unakerwa sana hadi raha[emoji23][emoji23][emoji23].,
Ipi zile za ushuzi 🤣🤣🤣🤣🤣 ambazo zinapigwa make up alaf make up inakataa
 
Clip moja ya Mombasa ilifunika zako zote kwa mpigo., domo domo ya nini dogo., wacha clips zijitetee zenyewe, sisi tunachambua zako hizo.,[emoji23][emoji23][emoji23], tumejionea, wacha kiswahili mingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maneno yako hayasaidii, video umeweka, haitoshi mboga unalialia wewe ni kipofu?[emoji23][emoji23][emoji23] nikitaja Mwanza unakerwa sana hadi raha[emoji23][emoji23][emoji23].,
Unazungumzia another city with slums🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇
EC3148F0-B770-4D0D-9FCA-F43C9A63292B.jpeg
8D8C71CE-FB46-44EB-A16E-9E4DF4F189F4.jpeg
8E82ACEF-D5B7-421F-95B5-873D60AAA64E.jpeg
E9FC10C8-8A69-419D-912C-0ACC533971A9.jpeg
54259B20-1CCF-4975-9F08-4EA2CA25EE90.jpeg
 
Hayo ni maoni yake lakini jibu langu mm hujalileta na hutapata mpaka yesu ashuke
Simple and clear[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787]
A fact beyond any reasonable doubt[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utaambia nini watu[emoji848]?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]., Mwenye alikutuma uweke video clips alikudanganya bro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zimekuumbua vibaya sana [emoji23][emoji23][emoji23]., punguza kiherehere kuanzia leo, ona unavyo jiaibisha peupe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji898][emoji898][emoji898]
 
Unazungumzia another city with slums[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1706946View attachment 1706947View attachment 1706948View attachment 1706949View attachment 1706950
Tofauti na Dar ushuzi 80% iko wapi?[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeweka video ya Mwanza, nimeweka video., hauna la ziada., case closed, video zijitetee, wewe relax[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
A fact beyond any reasonable doubt[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utaambia nini watu[emoji848]?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]., Mwenye alikutuma uweke video clips alikudanganya bro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zimekuumbua vibaya sana [emoji23][emoji23][emoji23]., punguza kiherehere kuanzia leo, ona unavyo jiaibisha peupe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji898][emoji898][emoji898]
Katoa maoni yake ila maoni yangu mm kwa kua nishafika mombasa ushzui wote naujua na tuusan hajawah fika mombasa sijui mm upande wangu utanidanganya nn 🤣🤣🤣🤣 kuna tofaut ya mtu aliefika sehem akaona kwa machoa na kutoona kwa macho hata ukitaka kuoa unaenda kumtazama binti kwa macho sio picha 😃😃😃😃😃
Mm huna cha kunieleza mombasa hata saaa hvi ukitaka nikuthibitishie kwa video au audio nina majamaa kibao mombasa
 
Hizi ni street za city[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]., utateseka hadi basi.,[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tz ya 2021 vs ya 90s., vioja leo[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tofauti na Dar ushuzi 80% iko wapi?[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeweka video ya Mwanza, nimeweka video., hauna la ziada., case closed, video zijitetee, wewe relax[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Leta ushahizdi kua dar ina 80%
Hii ni google earth 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇
2DD537E7-A54C-4859-978B-A8EF770ED45D.png
ABD7A35B-8DFF-4DED-B875-250D9AD65AA1.png
 
Hizi ni street za city[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]., utateseka hadi basi.,[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tz ya 2021 vs ya 90s., vioja leo[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana za city hizi hapa 🤣🤣🤣👇👇👇
 
Katoa maoni yake ila maoni yangu mm kwa kua nishafika mombasa ushzui wote naujua na tuusan hajawah fika mombasa sijui mm upande wangu utanidanganya nn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna tofaut ya mtu aliefika sehem akaona kwa machoa na kutoona kwa macho hata ukitaka kuoa unaenda kumtazama binti kwa macho sio picha [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mm huna cha kunieleza mombasa hata saaa hvi ukitaka nikuthibitishie kwa video au audio nina majamaa kibao mombasa
Umeandika insha nzuri sana, nakupa 39/40.,[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] ni Kiswahili tu umebaki nayo[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] thank you kaka., andika Insha nyingine am here will mark.,[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom