Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

21068.jpeg
 
Zimeliwa kama kawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tony254
Hiyo ni Kisumu kwa clip[emoji91][emoji91][emoji91], Mwanza je? no comparison[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] ata Kama wanasema Kisumu wamekula hela Governor professor Anyang Nyong'o babake Lupita Nyong'o ame perform sana in Kisumu, kazi yake inaonekana na pia yule wa Kakamega., pesa iko tu, tunakula na kutenda, Tanzania serikali masikini sana, vyanzo vya kutega uchumi ni hafifu sana, (weak revenue) wanafanya kazi kwa "kukaza vyuma", raiya wanateseka kisa wanajenga nchi kwa pesa za ndani [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787], ata ya kukula haipo, mnakwepa kulipa madeni mnalia lia msamehewe[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]., Wacha tukule na tujenge., #MwanzaKibokoLao[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Hiyo ni Kisumu kwa clip[emoji91][emoji91][emoji91], Mwanza je? no comparison[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] ata Kama wanasema Kisumu wamekula hela Governor professor Anyang Nyong'o babake Lupita Nyong'o ame perform sana in Kisumu, kazi yake inaonekana na pia yule wa Kakamega., pesa iko tu, tunakula na kutenda, Tanzania serikali masikini sana, vyanzo vya kutega uchumi ni hafifu sana, (weak revenue) wanafanya kazi kwa "kukaza vyuma", raiya wanateseka kisa wanajenga nchi kwa pesa za ndani [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787], ata ya kukula haipo, mnakwepa kulipa madeni mnalia lia msamehewe[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]., Wacha tukule na tujenge., #MwanzaKibokoLao[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Mm nimekwambia siku utaniletea street kama hzi mombasa unitag nifunge acc mbona ni simple and clear 🤣🤣🤣 nashangaa unaandika maneno mengi ushahidi huna, tunataka evidence sio maneno na porojo
 
Mwanza ilikukosea wapi mwarabu koko maana umeidhalilisha mpaka saa hivi nimejaza album ya kutumia kwa nduguzo. 🤣 🤣 🤣 kama unauchungu nenda kazae👩‍🍼👩‍🍼👩‍🍼
🤣🤣🤣🤣🤣 naona ushapanic sasa
Msaidie mwenzako👇👇👇👇👇
Mm nimekwambia siku utaniletea street kama hzi mombasa unitag nifunge acc mbona ni simple and clear 🤣🤣🤣 nashangaa unaandika maneno mengi ushahidi huna, tunataka evidence sio maneno na porojo
 
Mwanza city beibeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena video ya juzi aisee[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Na hapa ni wap??? Joho city beb🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇
 
Coco Master kuna jamaa anajikuta jimbi la utopolo city hku[emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]



Kwe kwe kwe kwe hamu huna hutak iwe mwanza kale kamsemo ka tanzania ya 90s naona kameisha siku hziiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haya kwanzia leo tunaota mama ngina city
 
Mwarabu koko kakimbia, ile video ilimchoma sana walai..
Hawa majamaa watawasumbua wasiowafahamu tu, siku hizi sio kila post wana comment
Mm niwakimbie nyinyi 🤣🤣🤣 mzee wa no one way street in mombasa mamaeee ulaona watu washamba hawajawah kufika kwenye huo ushuzi

🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇 jibu lipatikane
Mm nimekwambia siku utaniletea street kama hzi mombasa unitag nifunge acc mbona ni simple and clear 🤣🤣🤣 nashangaa unaandika maneno mengi ushahidi huna, tunataka evidence sio maneno na porojo
 
Kuna mmoja alipost viatu akaandika " eti made in tanzania" hapo ndo nkajua kumbe nadeal na washamba. Haya made in kenyaView attachment 1706876View attachment 1706877
Haujui ndio wana amka, vitu vya zamani ndio kwa sasa ni ya ajabu kwao., hapo kwa viatu tulipita zamani sana [emoji23][emoji1787][emoji23], Kuna siku pia mtu kapost modern trucks za kuzoa takataka in towns and cities, Kama zile za kanjo kwa kushangilia, things we had from 90s, vitu za kitambo sana anasema Kenya havipo amefurahi kishenzi, nilijua Tz ndio wametoka porini juzi wanashangaa shangaa na mambo, flyovers zinawapa orgasm, hadi Diamond Platinumz mwenyewe kwa interview moja amebambika na flyover ya kwanza Tz[emoji1787][emoji23][emoji1787]., outside Dar hakuna any ya maana sana., Si umejionea Mwanza mwenyewe, hapo ata mtu alete Kiswahili haikomboi Mwanza[emoji1787][emoji23][emoji23], Dar pia watch drone views zote kwa youtube, no comparison with Nairobi at all!!, lakini wakiweka picha on carefully selected angles na zimelishwa filter they can only fool wenye hawajafika Dar., can't compare to Nairobi [emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Watu watatu wanahangaika na ichoboy ukiwabana kwenye ukweli wanaanza kuleta hasira 😅😅😅😅😅
Kwan kujibu hili pia ni kazi au👇👇👇
Mm nimekwambia siku utaniletea street kama hzi mombasa unitag nifunge acc mbona ni simple and clear 🤣🤣🤣 nashangaa unaandika maneno mengi ushahidi huna, tunataka evidence sio maneno na porojo
 
Nyinyi huwa mkipigwa maeneo mengine huwa mnarudi kwa hili jambo moja tu kwamba Kenya hatujitoshelezi kichakula. Nchi ambayo 100% ya ardhi yake inapokea mvua inaicheka nchi ambayo 25% ya ardhi yake inapokea mvua japo ina uchumi mkubwa kushinda hii ambayo inapokea mvua 100% maeneo yote.
Sasa hutaki tuseme ukweli 🤣🤣🤣🤣 saudia ni 100% jangwa na sijwah sikia wakiomba msaada wa chakula badala yake hao hao wanawaletea nyinyi msaada wa chakula👇👇 tafuteni mtu aliewaroga nyinyi
 
Nyinyi huwa mkipigwa maeneo mengine huwa mnarudi kwa hili jambo moja tu kwamba Kenya hatujitoshelezi kichakula. Nchi ambayo 100% ya ardhi yake inapokea mvua inaicheka nchi ambayo 25% ya ardhi yake inapokea mvua japo ina uchumi mkubwa kushinda hii ambayo inapokea mvua 100% maeneo yote.
Wakat mwengine ni bora kukubaliana na hali sio munakuja hap munakaa kujidangany na GDP inayonuka ushuzi wa madeni alaf munajifany mumeendelea 🤣🤣🤣🤣 mumeendelea wapi leo mchina kachukua ajira za wakenya alaf useme mnaeza kula mara tatu kwa siku mukashiba subutuuu
 
Back
Top Bottom