Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
TZ hamna hata gari moja ya umeme mnataka kujilinganisha na marekani? Dah!Anasahau dunia ya sasa inapambana na mabadiliko ya tabia nchi mf. Elon Musk ni issue ya mwaka mmoja kapindua meza kwenye utajili kupitia Tesla na baadhi ya project nyingine... Nchi nyingi zilizoendelea zinaachana na magari ya mafuta kulinda mazingira



