Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787], Nairobi inatesa watu[emoji23][emoji23].,This is Nairobi reality[emoji846][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787], Nairobi inatesa watu[emoji23][emoji23].,This is Nairobi reality[emoji846][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
ndio inatesa watu tena wengi sana maana si mchezo eti nusu ya wakaazi wake ni slum dwellers 😂😂😂😂😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787], Nairobi inatesa watu[emoji23][emoji23].,
Na usisahau the mighty U/c Western bypass inapita hapa,,na interchanges wazima,Ruaka will be lit🔥🔥👏Ruaka Nairobi
View attachment 1705664
No UpperhillThis is Nairobi Kenya
View attachment 1705668
The mighty nonesenseNa usisahau the mighty U/c Western bypass inapita hapa,,na interchanges wazima,Ruaka will be lit[emoji91][emoji91][emoji122]
Sijui. Pengine wachinese au wazungu wamefanya survey mahali hapo. Na pia expertise ya kudrill hamna. Hata drilling rig ni tofauti na ya kuchimba mafuta au gesi. Ndio maana ile Italian company iliyoshinda zabuni iliambiwa ifanye survey na pia itoe recommendation ni aina gani ya rig inastahili kununuliwa. Kwa hivyo hata hizo rigs hamna.Jamaa wa TGDC wamejuaje kuna geothermal sources in the Southern Tanzania?
Wewe umeleta official source gani?? Hebu post tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo "official source" yako imesema nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kati ya ksh100, ksh57 ililipa madeni., sasa wewe unafikiria nini?., it will only slow down govt developmental projects, but it cannot affect the vibrancy in the private sector and individual sectors, kuna independence, if you know you know, the reason Kenya will top you for many centuries [emoji23][emoji23][emoji23], differentiate between government and economy, si unajidai wewe msomi?[emoji23][emoji23][emoji23] fikra zako huwa ni za ki uchwara sana ichoboy01 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe umeona mradi wa western bypass kweli? Sio mradi mdogo.The mighty nonesense
Nacheka kuona city hio🤣🤣🤣🤣 inanuka ushuzi wa bata hahahahaSasa unaona reasoning yako [emoji23][emoji23][emoji23], a cherry picked news can never give a clear picture of the whole ona ulivyo na masomo uchwara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] reasoning yako inakuumbua kila unapo ropokwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ruaka haipo nairobi au nasema urongooo ruaka iko kiambu county 😁😁😁😁😁😁 Alaf mijitu ilivomijinga ina like kabisaRuaka Nairobi
View attachment 1705664
Wewe umeleta official source gani?? Hebu post tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mm hua sikukwepeshi nakutandika hapo hapo🤣🤣👇👇👇
Hata kipofu anakataa aisee[emoji1787][emoji1787]Yule jamaa siafungue Uzi Wa Dubai vs Jozi kwanza aone mtu akila kichapo mapema kabla jua halijawa kali
Nimepiga leo [emoji116][emoji116]View attachment 1705712
Dah [emoji23][emoji23][emoji23]ndio inatesa watu tena wengi sana maana si mchezo eti nusu ya wakaazi wake ni slum dwellers [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
poleni sana
Na hzi zinapayika wapi🤣🤣👇👇👇 tumuite mwenzake naniMwenzake huyu[emoji116][emoji116]hapa; Mombasa.,
View attachment 1705721
View attachment 1705720
View attachment 1705719
Mwambie mwenzako sasa Yosef Festo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii unaichukulia kama ni news mbaya lakini kwangu naichukulia kama ni news nzuri. Inaonekana huelewi mambo ya uchumi. Kenya tukianza kufuata masharti haya ya IMF ya kupunguza expenditure na budget deficit basi hatutakuwa na shida ya kulipa deni. Hii ni habari nzuri lakini wewe unaichukulia kana kwamba ni habari mbaya ya kutucheka.
Kama msomi inabidi utueleweshe jinsi gani electric energy inaweza kugeuka na kuwa white elephant while duniani kwa sasa energy hasa electric energy ndiyo kichocheo kikubwa cha nchi kuwa na uchumi mkubwa mfano China.