Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Lazyland huwa mnashangaza sana. Hakuna cha kusherehekea hapa Malazy.
Onesha speed yako tujue nani lazy.
Lazyland huwa mnashangaza sana. Hakuna cha kusherehekea hapa Malazy.
Haya tuambie sasa mzee wa GDP sasa munapewa mikopo kwa masharti makali zaidi na waume zenu 👇👇👇👇Poleni sana. Hata hio June itasongezwa mbele.
Uganda ni dead stateHuo ndiyo ukweli kabisa asilinganishe Kenya na Uganda kwasababu Kenya ni failed state.




Jamaa unatupigia kelele na eakati tunawajengea airport kule mwanzaUko na machungu sana na hili unalifahamu.
SGR ya umeme ya Tanzania inakukosesha usingizi mnoo.
Yaani kwa namna unavyo andika humu inaonesha ni jinsi gani hauna amani kuhusu SGR ya Tanzania.
Nikuulize kwani ni Tanzania ndio imewalazimisha mjengewe hiyo mitungi ya changaa?
Unaita malazy nchi inayokulisha daily![]()
Who is dead🤣🤣🤣👇👇👇 mwenye bandari analia na asie na bandari anatabasamuUganda ni dead state![]()
Waganda sio wanafiki na wala hawana wivu na kenyaPamoja na Uganda kuwa LDC raia wa Uganda wana maisha mazuri na wanakula vizuri kuliko wakunya.
Endelea kutegemea misaada ya chakula.


Hahaaa!!nipo kijijini na bado 4G inafanya vizuri...Kwanza Vodacom wanazingua Sana![]()



Lakini cha kuskitisha wakenya muna wivu na waganda 😆😆😆 ndio maana bomba la mafuta mulilia na uharo ukawatoka pamoja na kukimbia kwenda ufaransa kupeleka sumu lakini ngoma mulishindwa kuichezaWaganda sio wanafiki na wala hawana wivu na kenya
Mganda akija kenya ana appreciate wala hana unafiki
Walibomoa hilo daraja mwaka uliopita kwa hivyo kama bado hawajaanza kuijenga basi mradi utakamilika mwaka ujao.Jana nimepita pale majumba 6 at least wame resume kazi saiv pale ila Bado sijajua maana pale hamna daraja na Ni njia ya magari ile
Ila Pugu kidgo kunaridhisha
Na Mimi nipo kijijini pia na mtandao voda 4g LTE, voda na mitandao mingine wanatupiga kwenye issues zingine lakini sio poor network 🙂4G ipo imara cheki juu🙂Hahaaa!!nipo kijijini na bado 4G inafanya vizuri...
Eti hoo!!kenya mashamba yanamilikiwa na uhuru
Nimekuja kutembelea mashamba yetu hku kwetu kijijini manake jamaa wanaoyasimamia wameanza kuzinguaView attachment 1704587
Wewe haupo lazyland. Nadhani upo Marekani. Hio speed sio ya lazyland.
Kipande hicho hadi Pugu ndio kimebaki sasa wanadili nacho ipasavyo.Jana nimepita pale majumba 6 at least wame resume kazi saiv pale ila Bado sijajua maana pale hamna daraja na Ni njia ya magari ile
Ila Pugu kidgo kunaridhisha
Tazameni report za kenya
Tazameni report za tanzania
tazameni report ya BBC
Haya niambieni nyinyi hawa watu wanatutakia mema sisi ??? Na nani alisema kwamba sharif hamad amekufa na corona je wakenya ndio waliompima
Na kile kipande ambacho kilibomolewa mwaka uliopita, kimejengwa?stop your nonsense! hawajawah kujenga daraja hapo
Haya tuambie sasa mzee wa GDP sasa munapewa mikopo kwa masharti makali zaidi na waume zenu 👇👇👇👇
Naona umecatch mafeelings.sina mda kujibu hilo.. kamuulize bibi huko kwenu