komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Umekasirika sio[emoji1787][emoji1787]Duh ghorofa porini [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Eeee porini[emoji116][emoji116][emoji116]
Umekasirika sio[emoji1787][emoji1787]Duh ghorofa porini [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haya oneni upuuzi sasa 🤣🤣🤣🤣 12 storey buidling mm nikajua anasema wanajenga 30 floors buidling ambayo ni invisibleBwahaha!!hapo vipi, umeona uzi wa hilo jengo[emoji1787][emoji1787]View attachment 1704450
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]Bwahaha!!hapo vipi, umeona uzi wa hilo jengo[emoji1787][emoji1787]View attachment 1704450
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wachina wanaichezea kenya vile wanataka
ilo jengo linaitwaje? na lipo mombasa seem gani?Na hapo je..uzi uko wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1704451View attachment 1704452
Ndio lile lipo karibia na nyali bridge lina miaka 10 liko hvo hvo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ilo jengo linaitwaje? na lipo mombasa seem gani?
Huo ndiyo ukweli kabisa asilinganishe Kenya na Uganda kwasababu Kenya ni failed state.Usilinganishe kenya na uganda[emoji1787][emoji1787]
Hii haiwezi kumaliza tatizo la umeme ndani ya Kenya ndugu ni uwizi tu ndio umetamalaki nchini kwenu.Watanzania nyinyi ni washamba sana najua hamjawahi kuona jinsi geothermal powerplant inavyofanana. Tazameni hapa, hii ni Olkaria V ambayo bado ujenzi wake unaendelea.
View attachment 1704469View attachment 1704470View attachment 1704471View attachment 1704472View attachment 1704473
Uganda bado ni Ldc wacha ujinga wewe.Huo ndiyo ukweli kabisa asilinganishe Kenya na Uganda kwasababu Kenya ni failed state.
Kukuwa ldc sio tatizo kwa maana hiyo gdp ni namba tu, kwani Uganda ni ldc na Kenya sio ldc, je zimezidiana kitu gani? Zaidi zaidi utofauti upo katika politics, political leaders wa Kenya lack hygiene political willing na ndiyo maana wamesababisha nchi yao kuitwa failed state.Uganda bado ni Ldc wacha ujinga wewe.
Uko na machungu sana na hili unalifahamu.Hahaha. Dude ambalo lilikuwa likamilike November 2019 litakamilika June 2021? Lazyland huwa mnashangaza sana. Hakuna cha kusherehekea hapa Malazy.