Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] so hayo majengi ni invisible yanajengewa mbinguni alaf yanashushwa kama malaika
Jibu hoja, unapinga km kuna majengo ya mombasa ambayo hta nyuzi hayakufunguliwa
 
kimeumana tena coco beach [emoji1]


coco beach imemzoa mtu
IMG_1613499139.674285.jpg
 
Safari ya
Ohh jpm anajenga Chato tu
Ooh barabara Tz hazina marking

Hii hapa Musoma barabara zimepigwa lami kama yote.

One of my best cities,hapo juzi Kati nlibaatika kuvuka mpaka kinesi a magical island mle ndani kuna historia ya wajerumani kama vile archives flani hivi,Nika Rudi musoma mjini,eneo moja inayojulikana kama kitaji nimekupenda Sana kwa utulivu🙂
 
Back
Top Bottom