The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Mm binafsi simkubali kabisa, watu wanajenga hovyo hovyo yeye yupo tu, hana lolote.Huyu naye JPM anamlia time mshikaji haendani na speed ya JPM halafu huwa anachapwa sana vijembe na Mkulu!
Mm binafsi simkubali kabisa, watu wanajenga hovyo hovyo yeye yupo tu, hana lolote.Huyu naye JPM anamlia time mshikaji haendani na speed ya JPM halafu huwa anachapwa sana vijembe na Mkulu!
Ule mpango wake wa ku-survey nchi nzima umefia wap?Mm binafsi simkubali kabisa, watu wanajenga hovyo hovyo yeye yupo tu, hana lolote.
Muongo tu uyo, speed imemshinda.Ule mpango wake wa ku-survey nchi nzima umefia wap?
Hehehe!!majengo mengi marefu mombasa hayakufunguliwa nyuzi, au unapinga muarabu kokoTujionee uzinduzi wa nnuahahhahahahh leo nacheka sana kwamba mombasa haina hyping kama nairobi
majengo yakiiinuka hayaonekani manake yanakua invisible![]()



Si unajitesa kweli
Bwahahaha!!we ndio unalinganisha manake umekosa cha kulinganisha nachoMnajitahidi kuipamba hyo road ili muweke ulinganifu na train ya umeme lkn wapii ngoma inagoma, haziwezi kulingana, yn mradi wa zaidi ya $10b hauwezi fananishwa na mradi wa $0.6b![]()


Sikujui mzee baba, usiforce kunijua jamaniUtapita kwa mguu au![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 so hayo majengi ni invisible yanajengewa mbinguni alaf yanashushwa kama malaikaHehehe!!majengo mengi marefu mombasa hayakufunguliwa nyuzi, au unapinga muarabu koko![]()
kibera bin chokoraaKwn hujui km kibera ndio kimbilio lao, wataenda wapi kwan zaidi ya kw slums