Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkenya siku zote ana Tamaa ukizubaa unapigwa fix alafu mfumo wa kudhibiti bei in every area ni mtihani kwa majirani zetu
Watu mbona bei wana mudu tu, tatizo mnataka kulinganisha nchi maskini za EA na babayao kenya..
Lingabishe bei zetu na sauzi alafu uone
 
A room with a View @ Hyatt Regency, The Kilimanjaro.

IMG_5529.jpg
 
Watu mbona bei wana mudu tu, tatizo mnataka kulinganisha nchi maskini za EA na babayao kenya..
Lingabishe bei zetu na sauzi alafu uone
Khaaa🙄! Kweli mnapenda sifa za kijinga Kenya na S.A wapi na wapi usilinganishe Zulu land na kunyaland alafu wewe sauzi umeshafika? 🙂Kama bado Bora ukae kimya🙂
 
Back
Top Bottom