Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkenya siku zote ana Tamaa[emoji846] ukizubaa unapigwa fix alafu mfumo wa kudhibiti bei in every area ni mtihani kwa majirani zetu [emoji846]
Watu mbona bei wana mudu tu, tatizo mnataka kulinganisha nchi maskini za EA na babayao kenya..
Lingabishe bei zetu na sauzi alafu uone
 
A room with a View @ Hyatt Regency, The Kilimanjaro.

IMG_5529.jpg
 
Watu mbona bei wana mudu tu, tatizo mnataka kulinganisha nchi maskini za EA na babayao kenya..
Lingabishe bei zetu na sauzi alafu uone
Khaaa🙄! Kweli mnapenda sifa za kijinga Kenya na S.A wapi na wapi usilinganishe Zulu land na kunyaland alafu wewe sauzi umeshafika? 🙂Kama bado Bora ukae kimya🙂
 
Khaaa[emoji849]! Kweli mnapenda sifa za kijinga Kenya na S.A wapi na wapi usilinganishe Zulu land na kunyaland alafu wewe sauzi umeshafika? [emoji846]Kama bado Bora ukae kimya[emoji846]
Uganda na kenya wapi wapi sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom