babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Match played 16
Win 3
Nafasi ya 15
Match played 16
Sasa mbona munalia huko twitter 🤣🤣🤣Tutampa kodi mpende msipende
Ukitaka kajinyongeni
Hakuna football clubs Kenya ni mavi matupu.
Ww ni kinyesi kimejaa kwa iyo skull, mpaka leo mnapokea chakula ya msadaa wachia mbali huo ufukara ulio tanda kma buibui kila kona ya kunya unadare kuiongelea TanzaniaTanzania, nchi inayodaiwa na mkulima mmoja mpaka kawashikia ndege leo mwarabu chokosh utatuambia nini. Tanzafuckinia![]()




foolHaha, malazy kodi pia watalipa, jichoboy tayari amekata ticket.Wacha sisi, hata wewe ukija nairobi utalipia kwhyo tutasaidiana tu majirani zetu
Magari yote jamaa hawakutaja ya wakenya wala nn, uwe mtz uwe nani utalipia ku enjoy mtelezo wa ju kw juu


kumbe timu yenyewe inashika nafasi ya 15,kweli gor.M ni sikio la kufahizi mimba anawatungisha uhuru, siku mnajifungua mtatupa tabu sana kaka zenu.Haha, malazy kodi pia watalipa, jichoboy tayari amekata ticket.
kumbe timu yenyewe inashika nafasi ya 15,kweli gor.M ni sikio la kufa

hawataki kukubali kwamba wao fani yao ni kukimbiza upepo, mpira wangeachana nao tu.Sijawah kukuandikia chochote jiheshimu foolMimi siku nyingine usiniandikie upuzi kama huu, sawa dogo
kwani mkuu ukiona mkenya anatoa povu kwa magufuli humu unadhani ni bahati mbaya!!!!!walipiga ukimya wakadhan hatutajua... kwenye ishu ya mpira mim naomba serikali iwekeze ili tuwaache mbali hawa jamaa.. tusiwe level yao tena.
- ujenzi wa uwanja wa dodoma (over 60k capacity)
- CCM at least wafanye harambee na wanachama na kutumia vyanzo vyao kuuboresha uwanja wa ccm kirumba uwe na level ya kimataifa, wauoboreshe na uwe na at least 50k seat capacity(now una 35k capacity), wakifanya harambee ya kila mwanaccm kutoa 100k tsh kwa watu 1m watapata 100b (100b ni nying thou)
- Mbeya kunafaa pia kuwe na uwanja wa kimataifa au Arusha


.Kwenye swala la club football tupo mbali sana saiv tunamfukuzia Congo DRC wadau wa soka wapaze sauti viwanja virekebishwe au vinjengwe vingine maana hivi vya CCM ni balaa tupuwalipiga ukimya wakadhan hatutajua... kwenye ishu ya mpira mim naomba serikali iwekeze ili tuwaache mbali hawa jamaa.. tusiwe level yao tena.
- ujenzi wa uwanja wa dodoma (over 60k capacity)
- CCM at least wafanye harambee na wanachama na kutumia vyanzo vyao kuuboresha uwanja wa ccm uwe na level ya kimataifa, wauoboreshe na uwe na at least 50k seat capacity(now una 35k capacity), wakifanya harambee ya kila mwanaccm kutoa kiwango cha chin 100k tsh kwa watu 1m watapata 100b (100b ni nying thou)
- Mbeya kunafaa pia kuwe na uwanja wa kimataifa au Arusha
Na hawa majamaa wako vizuri sana kwenye kukimbiza upepo na rugbyhawataki kukubali kwamba wao fani yao ni kukimbiza upepo, mpira wangeachana nao tu.
2025 kutakuwa na jiji moja tu hapa EA, na mengine madogo madogoMbezi Luis Bus Terminal
Phase 1: ujezi wa barabara upo slow kidgo estim inabd wachangamke, Wachina 99% ya finishing za kwenye majengo zimekamilika, kwa Sasa wanajenga daraja la juu la kuingilia magari stendi ( wapo hatua ya kuweka nguzo) na finishing ndogo ndogo za nje
Phase 2: Hawa wako speed kinoma nahisi hii phase wamepewa wengine sio hao wachina
Pedestrian bridge nalo lipo hatua za mwisho nguzo zote washaweka
Hope before March huu mzgo utaanza kufanya kazi
Note: Kenyan hyo ndo stendi Bora kuliko zote Africa, sio East & Central Ni Africa nzima. Na mpaka 2025 tutatoa wazo liongezwe jukwaa la Africa ili uanzishwe uzi wa DSM vs ( Nairobi + Kigali + Kampala + Addis Ababa + Cape Town + Casablanca + Cairo + Lagos etc)


.