The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Sheria ya nchi inasemaje pale mkuu wa nchi anapoondoka? Na km sheria haimgusi unategemea nini? Na nani katunga hyo sheria km co hao waliong'atuka?Mkuu ilo swali linashida gani?Hao waliotuchelesha mbona magereza hazijajaa kwann tusiwape Adhabu
