Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu ilo swali linashida gani?Hao waliotuchelesha mbona magereza hazijajaa kwann tusiwape Adhabu
Sheria ya nchi inasemaje pale mkuu wa nchi anapoondoka? Na km sheria haimgusi unategemea nini? Na nani katunga hyo sheria km co hao waliong'atuka?
 
Kuna Platinum ya kutosha Tanzania. Hii jutumika kwenye electronic devices.
UK-based nickel miner African Eagle Resources has discovered nickel sulphide deposits and platinum group elements (PGEs) at Dutwa, its flagship mining operation in Tanzania. African Eagle CEO Trevor Moss said the company had long known about the significance of Dutwa's laterite deposits.

USES OF PLATINUM
Platinum is used extensively for jewellery. Its main use, however, is in catalytic converters for cars, trucks and buses. This accounts for about 50% of demand each year. Platinum is very effective at converting emissions from the vehicle’s engine into less harmful waste products.

Platinum is used in the chemicals industry as a catalyst for the production of nitric acid, silicone and benzene. It is also used as a catalyst to improve the efficiency of fuel cells.

The electronics industry uses platinum for computer hard disks and thermocouples.

Platinum is also used to make optical fibres and LCDs, turbine blades, spark plugs, pacemakers and dental fillings.

Platinum compounds are important chemotherapy drugs used to treat cancers.
 
Inauma sana bro kumbe kuna n'gombe tulizipa majukumu ya kibinadamu ndio maana Mambo hayakwenda vizur
Hebu jaribu kufuatilia tu huyo jamaa. Alishakufa. Halafu ukumbuke wizara hiyo ilikuwa inaunganisha Nishati na Madini.

Umeme ulikuwa unakatika katika ovyo tu wakati wake. Aliingia mikataba na makampuni kama IPTL yaliyokuwa yanakula pesa zetu bila hata kutoa umeme.
Kweli inauma mno. But kwa sasa tunajua tulipojikwaa tunarekebisha makosa yetu.
 
Na madini yote hayo bado hatujatoka tu shida iko wap

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
kwa kweli tunahitaji umakini wa hali ya juu,,kupata viongozi smart wenye wivu na haraka ya maendeleo huko mbeleni ....


la sivyo tutaendelea kuwa na natural resorces nyingi zisizopangiwa mipango mkakati for future
 
Kwanini Uswahili ni Utaifa na si ukabila Tanzania!



Tony254
Usisahau neno swahili limetokana na kiarabu, yani sawahil maana yake watu wa pwani.. unaposema "mimi ni mswahili" ujue unamaanisha wewe ni mtu wa pwani..

Kwhyo usitake kutulisha matangopori hapa , au unataka kutuhakikishia km watanzania wote ni watu wa pwani kizere geza?
 
kwa kweli tunahitaji umakini wa hali ya juu,,kupata viongozi smart wenye wivu na haraka ya maendeleo huko mbeleni ....


la sivyo tutaendelea kuwa na natural resorces nyingi zisizopangiwa mipango mkakati for future
Sure brother
 
Kwanini Uswahili ni Utaifa na si ukabila Tanzania!



Tony254
UTAIFA ni "itikadi ya mtu kupenda taifa lake kupita kiasi, hata kudharau watu wa mataifa mengine"

Geza emu tufafanulie vizuri, km nia yako ni kubadili maana halisi ya hilo neno useme kabisa tukuelewe
 
Usisahau neno swahili limetokana na kiarabu, yani sawahil maana yake watu wa pwani.. unaposema "mimi ni mswahili" ujue unamaanisha wewe ni mtu wa pwani..

Kwhyo usitake kutulisha matangopori hapa , au unataka kutuhakikishia km watanzania wote ni watu wa pwani kizere geza?
wewe na pwani yako,,,kulikoni....!!!!!
kwani duniani pwani ipo tanzania pekee.....?

hizo ni tashtiti tu za kihistoria,ila watu hawakuwepo pwani pekee watu walihama kutoka sehemu moja kwenda nyingine ikiwemo bara na visiwani,,,,,hivyo kuna watu walitoka maeneo mengine na kwenda pwani pia kuna watu walitoka pwani kwenda maeneo mengine ya nchi......

utulie
 
Rare Earth Element
Screenshot_20210209-210342.png
Screenshot_20210209-210405.png
 
wewe na pwani yako,,,kulikoni....!!!!!
kwani duniani pwani ipo tanzania pekee.....?

hizo ni tashtiti tu za kihistoria,ila watu hawakuwepo pwani pekee watu walihama kutoka sehemu moja kwenda nyingine ikiwemo bara na visiwani,,,,,hivyo kuna watu walitoka maeneo mengine na kwenda pwani pia kuna watu walitoka pwani kwenda maeneo mengine ya nchi......

utulie
Mi mbona nimeandika ukweli tu, kuhusu kuhama sijui nakwenda wapi huo ni uamuzi wa mtu..
Ila ukumbuke mke wa kwanza hafanani na wapili, kila mmoja ana mahanjamu ya kwake..lkn kw mume mchezo ni ule ule kamwe haubadiliki basi labda ujiongeze kw njia za mkato
 
Back
Top Bottom