tabia za wanawake 99% wengi wenu huwa zinafanana ndiyo maana unaambiwa fshari wawili hawakai zizi moja na ndiyo maana kwa kiasi kikubwa wanawake hampendani na mgigombana huwa kupatana ni ishu nzito huwa mnakaziana mazima tofauti na wanaume...
tukiendelea na history kwenye maisha kuna baba na mama hivyo hao wote baba na mama ni mmoja....hakuna cha pwani,visiwani wala bara ,,,,watoto wakikua huwa wanatoka nyumbani na kwenda kujitafutia life mbele ya safari.....
SWAHILI FOR TANZANIA.....na si kwa pwani pekee hiyo ibaki kuwa history tu....