Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naongea kuhusu vaccine tatu kubwa zilizokubaliwa na European Union. Astrazeneca, Moderna na Pfizer vaccine.
India hawana sababu dhabiti ya kureject Pfizer. Wao wanacheza siasa tu.
nakuambia kila siku uache ubishi wa kipumbavu kabla hujabisha kitu do a brief search on a current situation on the subject! Watu wamepewa jabs wakakaa baada ya weeks wakapimwa wamekutwa na UVIKU19!

 
nakuambia kila siku uache ubishi wa kipumbavu kabla hujabisha kitu do a brief search on a current situation on the subject! Watu wamepewa jabs wakakaa baada ya weeks wakapimwa wamekutwa na UVIKU19!

Sawa mzee.
 
Wakenya husema wao ndio huwafanya wasanii wa Tanzania kuwa famous (laughable comic) sasa huyu Zuchu hajawahi kutoka nje ya Tanzania toka atambulishwe WCB na ni msanii wa juzi tu lakini hii recognition aliyonayo wasanii wakubwa wa kenya wanaitamani

 
Iyo nyumba apo kando ya bahari utasema Miami kumbe DAR
images%20(2).jpeg
 
wacha kuvuta ugoro! Ugoro noma!
Wewe jibu swali. 1 million tonnes ni kidogo kwako? Hivi wewe hujui kwamba renovated and expanded Mtwara port ina capacity ya hio 1 million tonnes? Hahaha.

Usidharau 1 million tonnes mzee.

 
Wakenya husema wao ndio huwafanya wasanii wa Tanzania kuwa famous (laughable comic) sasa huyu Zuchu hajawahi kutoka nje ya Tanzania toka atambulishwe WCB na ni msanii wa juzi tu lakini hii recognition aliyonayo wasanii wakubwa wa kenya wanaitamani

Zuchu ndio ana nn haswa
 
What is PPP? Discuss,
How will it impact a national budget?., hapa najua haupati picha.,
How many kshs of GDP is lost on Mombasa road and Nairobi at large yearly or daily due to grid lock?
How much will expressway contribute to GDP directly and indirectly?.,
[emoji28][emoji23][emoji23] .,
Hebu tuambie kenya imetoa kitu gani zaidi ya ardhi 🤣🤣🤣🤣🤣 ukipata sehem kenya wametoa senti 10 nitag mm🤣🤣🤣
 
You are stupid. Nimekueleza issue za siasa za Tanzania achana nazo.
Kenyatta family inawachezesha kama ipendavyo. You are country ipo kwenye elite group. They own everything including you. Huna cha kusema zaidi ya kuramba miguu ya Kikuyu tribe and Uhuru family.

Usitake nianze kupiga za uso sasa.
You are country is a shame. Mnatuaibisha waafrika.
Ukiwaambia maneno hayo hawapendi kabisa imagine nchi inawatu million 50 ila unemployment rate yake ni kubwa mara tatu ya tanzania alaf wako hapa wanakenua 😅😅
Wana machungu sana na magufuli manake ameipeleka tanzania mbele sana wakat wao jubilee inajinyea na mikopo isiolipika
 
Back
Top Bottom