Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamani pale msimbazi na uhuru kuna majengo yanapanda nani mwenye taarifa??????
sasa we jamaa wakushangaza sana. yaani sisi tunajenga super tall tower na hatubabayuki.... sasa wewe umekazania vi floor 4 na hatupumui 😀 😀 😀 😀 😀
 
sasa we jamaa wakushangaza sana. yaani sisi tunajenga super tall tower na hatubabayuki.... sasa wewe umekazania vi floor 4 na hatupumui 😀 😀 😀 😀 😀
Floor nne zipi Mkuu... Mbona povu.. Tulia Dawa ikuingie
 
sasa we jamaa wakushangaza sana. yaani sisi tunajenga super tall tower na hatubabayuki.... sasa wewe umekazania vi floor 4 na hatupumui 😀 😀 😀 😀 😀
4 floors au sio naona safari hii hamuna raha kila mkiamka afadhali ya jana....sasa ni kazi tu
 
kama ni 71 floors,,, sina budi ila kutulia tuli. lakini kama haifiki 69 floors,,, jiekee tafadhali. 😀 😀 😀 😀 😀
Unataka kutudanganya hass ni 69???
😀😀😀😀😀 jengo lenyewe sijui kama mutajenga wacha tuone
 
LDC vs DC
severe water shortage in nairobi

879b641715a696e6c7b824e590f34806.jpg


dr. john magufuli launches a sh23 billion water project in mwanza tanzania.

8f0aa25b070f9363b3bc7b48c8412276.jpg
 
We acha utani kama itatatua tatizo la maji ni jambo jema...
 
Back
Top Bottom