Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ushaanza kuhepesha mada...rudi huko kwenye vichwa

s
siunataka kuona vituko vya mwaka ndio hvo sasa😀😀😀😀😀😀
daraja halijafunguliwa linavunjika 1.2 b ksh
DDPYo1zWsAAi2yl.jpg
 
Haifiki Kampala kwani
Hahaha usichanganyikiwe wewe. Tulia tukuoneshe mambo kuliko kuruka ruka kama kama ndege kanaswa kwenye mtego.
Hapa nimekuonesha network ya Rail Tanzania. Sasa wewe hako ka SGR kwako sijui katafua dafu. Maana Tayari TZ na UG tupo na mkataba kuhusu Tanga Port kusafirisha mafuta. So Uganda wapo na alternatives tatu toka Tanzania kusafirisha mizigo yao.
1. From Tanga through Musoma
2. From Dar through Mwanza
3. From Dar through Isaka.

Sas dogo uwe unasoma mambo. Hapa lazima tuwapige tena za uso.
 
hebu komaeni na vichwa vyenu...daraja na kichwa cha treni wapi na wapi
 
Hahaha usichanganyikiwe wewe. Tulia tukuoneshe mambo kuliko kuruka ruka kama kama ndege kanaswa kwenye mtego.
Hapa nimekuonesha network ya Rail Tanzania. Sasa wewe hako ka SGR kwako sijui katafua dafu. Maana Tayari TZ na UG tupo na mkataba kuhusu Tanga Port kusafirisha mafuta. So Uganda wapo na alternatives tatu toka Tanzania kusafirisha mizigo yao.
1. From Tanga through Musoma
2. From Dar through Mwanza
3. From Dar through Isaka.

Sas dogo uwe unasoma mambo. Hapa lazima tuwapige tena za uso.
Unajua ushabiki wako hautasaidia...lake Victoria je? Ama mtajenga bridge
 
Lets try to stick to this thread. ...we all know every country is in progress
 
Annael amesema watatumia tanga hapo lake Victoria lazima...kwani huelewi ninj
Dogo naona unakomaa sana hujui. Kama umeshindwa kusoma hiyo ramani utawezaje sasa kujadili mambo magumu magumu? Kwani lile bomba kutoka Hoima kwenda Tanga Ziwa linahama?
 
Dogo naona unakomaa sana hujui. Kama umeshindwa kusoma hiyo ramani utawezaje sasa kujadili mambo magumu magumu? Kwani lile bomba kutoka Hoima kwenda Tanga Ziwa linahama?
Wewe ni mjinga from tanga to musoma then kuna lake Victoria iyo ndio issue yangu
 
Back
Top Bottom